bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Wanawake wanaenda na Dunia wache waende nayo.
Inferiority complex na self esteem ya wanawake ni utajiri kwa wengine
Inferiority complex na self esteem ya wanawake ni utajiri kwa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkakati wa shetani kuvuna wengi.Mkuu dunia imeshaharibika! Serikali haina cha kufanya. Uzinzi umeshamiri dunia nzima.
Mwanamke kupunguza ukubwa ukubwa wa tumbo kwa kuingiziwa ''dawa'' sehemu zake za siri kwa kutumia uume? Huu ni ujinga uliopitiliza.Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza
Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha idhalilishaji WA wazi wa mwanamke.
Kwenu wanawake punguzeni kuwa na tamaa za kutaka kuiga kila kitu mambo ya shepu na kukata tumbo hayakuhakikishii kuwa na ndoa au mapenzi ya kweli anza kujipenda kwanza wewe mwenyewe jinsi ulivyo na kujikubali.
Ona sasa mnaipa serikali kazi kwa ujinga wenu wenyewe kuna watu hawana shepu lakini wana ndoa Bora,wanapendwa na kuheshimiwa na wenza wao
Acheni ujinga
Serikali ina mengi ya kufanya ila siyo ujinga wa mkuu wa mkoa au polisi kufukuzana na machangudoa. Serikali inatakiwa ijenge shule zenye kutoa elimu yenye ubora ili wananchi waelimike na kujitambua. Pia kuwa na ajira au mazingira mazuri kwa wananchi kiuchumi.Mkuu dunia imeshaharibika! Serikali haina cha kufanya. Uzinzi umeshamiri dunia nzima.
Yani hadi aibu hata akili ya kuzaliwa tu inatosha kusaidia usifanyiwe ukatili huu sijui shida ni nini kwa kweli labda ndo huo ujinga uliopitilizaMwanamke kupunguza ukubwa ukubwa wa tumbo kwa kuingiziwa ''dawa'' sehemu zake za siri kwa kutumia uume? Huu ni ujinga uliopitiliza.
Yani tunacheka lakini inasikitisha mnoJamaa anawaingiza dudu huku kalipaka dawa eti linaingiaa kwenye nyonga linapitisha hiyo dawa..... 🤣🤣🤣 Huyu sasa ndio king wa kimasihara
Kama ulivyobakwa weweUlibakwaje mkuu
Mno yani imagine mtu anakwambia kaingiza dawa kakojoa jamani Mungu wangu hii mbona ni zaidi ya sodoma na gomoraMkakati wa shetani kuvuna wengi.
Kwenye uzinzi anavuna wemgi
Sure na wataangamia wengi kwa ujinga na kuiga visivyoigikaWanawake wanaenda na Dunia wache waende nayo.
Inferiority complex na self esteem ya wanawake ni utajiri kwa wengine
Hamna cha kusikitisha hapo ni wapuuzi tu hao wanaoenda kutafuta shape sinza, tena anawachatisha kabisa mwanamke analalamika we umeingiza dawa hadi ukakojoa jamaa anasema sahivi ntajitahidi nisikojoe....kmmmaee zao mazombie kabisa. Wapigwe tu duduYani tunacheka lakini inasikitisha mno
Hakika yani ni aibu ya mwaka ujinga mtupuMajitu mazima yote hayooo .Acha yatapeliwe ,yapigwe dudu tena ikiwezekana wayatoboe na spika zao mazafaka.
mpumbavu ni wewe usiyeelewa kaa na ujinga wako pita kule sio lazima uelewe sawa eee😏Uandishi wa kipumbavu kama huu wa kuamini kila mtu anajua unachokiandika kama kila mtu humu anafanya kazi kwenye hizo saluni.
Yani hii inashangaza hasa ni ukosefu wa akili kiasi ganiTatizo lipo kwa hao wanaodai kudhalilishwa
unapunguzwaje tumbo kwa kuvua chupi na kuingizwa vidole na dhakari kwny Uke?
kuna watu wana akili ndogo hadi unatamani kufungua mafuvu yao uone kunafananaje kwny medula zao?
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Hamna cha kusikitisha hapo ni wapuuzi tu hao wanaoenda kutafuta shape sinza, tena anawachatisha kabisa mwanamke analalamika we umeingiza dawa hadi ukakojoa jamaa anasema sahivi ntajitahidi nisikojoe....kmmmaee zao mazombie kabisa. Wapigwe tu dudu
Peleka ushoga huko kenge wewe. Ungetumia waume zako inbox huko. Hapa ni jukwaa la umaa, ukiamdika kitu uandikr kinachoeleweka.mpumbavu ni wewe usiyeelewa kaa na ujinga wako pita kule sio lazima uelewe sawa eee😏