Hii kiitifaki imekaaje?

Hii kiitifaki imekaaje?

MUTUYAMUNGU

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
1,825
Reaction score
4,374
Rais inabidi asindikizwe na Vigogo wa ngazi za juu, sio Waziri
IMG_20211112_160817_675.JPG
 
Rais inabidi asindikizwe na Vigogo wa ngazi za juu, sio Waziri
View attachment 2008034
Rais wa misri amekwenda Paris ufaransa anakohudhuria mkutano wa kimataifa unaohusiana na maridhiano.

Ila nimefurahishwa na hii picha, waziri mwandamizi wa nchi ya kiislamu mwanamama yeye kapiga suti rais wetu nchi ya kiafrika kageuka mwarabu.
 
Nje ya mada,hawa Waarabu wametuletea ushungi halafu wenyewe wameutupa sijui ni lini Mwafrika ataamka.
Wamisri wenye msimamo mkali ni Muslim Brotherhood kina Mohammed Morsi ambao Misri kwa muda mrefu inawatambua kama kundi la kigaidi. Waliobaki ni moderate Muslims na Wakristo wa Coptic ambao kulazimisha kuvaa ushungi na kuchapa viboko wanaokula kwenye mwezi mtukufu ni uhayawani
 
Back
Top Bottom