Hii kusema "huko kwa kina Kassim" ina maana gani?

Hii kusema "huko kwa kina Kassim" ina maana gani?

babu M

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
5,222
Reaction score
3,173
FD181796-7811-4C16-AEBC-6DDAC05D8C60.jpeg
 
2025 wachane wachane wararue Kwa maneno Mkiti wa CCM taifa, mwendazake hakuwavumilia, nawe wararue. Kama hawaeleweki pindua meza. Unda Baraza jipya!
Watulie wakalie vigoda hadi 2030!

Everyday is Saturday...........................................😎
 
Hiyo ya kusema kulikuwa na mpango wa serikali kuwa ya mpito Ni Jambo ambalo halikuzungumzwa hadharani maybe hizo Ni taarifa za ndani za watu walipanga kufanya now zimekuwa open kuwa Kuna kikundi kilikusudia kukwamisha asiapishwe...tuendelee kula mtori nyama ziko chini...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom