Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,403
- 4,692
Good observations mdau anamaanisha hivyo walosema huo mpito wajiandae kuwa mpito wao kwenye mpito huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good observations mdau anamaanisha hivyo walosema huo mpito wajiandae kuwa mpito wao kwenye mpito huo.
Hell no, Nchi hii isirudi tena mikono mwa waalimu.....!!Natamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
No...Ndugai na pole pole ni kama simba na mo energyKassim & dugai team moko
Akae chonjo, au siyo? But amechelewa sana; lakini pia anakosa vision iliyofungamanishwa na uzalendo halisi. In short, hana ubawa wala ubavu kuthubutu.Kwamba Maja nae akae sana rada.
Kwa bahati mbaya hapati maana HATOSHINi kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Tutaona mengi na kuskia mengi mwaka huu
Huenda Ali4c pia
Mama kakosea kmuita jina waziri mkuu bila kumpa cheo chake lakini hii inaonyesha huko ndani kuna mengi Sana yanaendelea na kufikia hatua ya kusema hivo basi bila shaka kuna watu watamwagwa muda sio mrefu
Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Dah...Natamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
Ungekuwa wewe ungeuachia?Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Huenda lakini Wazanzibari ndivyo walivyo wakihamaki huwa wanamwita mtu kwa jina lake (hasa la kwanza), hawaiti kwa cheo cha mtu hata kidogo.kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!