Mama kakosea kmuita jina waziri mkuu bila kumpa cheo chake lakini hii inaonyesha huko ndani kuna mengi Sana yanaendelea na kufikia hatua ya kusema hivo basi bila shaka kuna watu watamwagwa muda sio mrefu
A cabinet reshuffle is imminent!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kakosea kmuita jina waziri mkuu bila kumpa cheo chake lakini hii inaonyesha huko ndani kuna mengi Sana yanaendelea na kufikia hatua ya kusema hivo basi bila shaka kuna watu watamwagwa muda sio mrefu
Bora January sio?Hell no, Nchi hii isirudi tena mikono mwa waalimu.....!!
Toka lini mtu muongo akawa sahihi? Alituongopea mchana kweupe eti Jiwe yuka ofisini anachapa kazi kumbe jamaa alisha kata stimu!!! Kassim Majaliwa hafai aende akafanye biashara yake ya korosho!!!Natamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
Wengine kina naniUbora wake ni upia tofauti na wengine?
Wa kijaniWengine kina nani
Mi nawashangaaga sana hawa wana mbogamboga😅!Sijui nini madaraka au pesa..
Mtu unamiaka sitini unakula unachotaka bado unatamani vyeo ambavyo vinakupa stress??
DihHuenda Ali4c pia
Yanakera mpaka basi,Mi nawashangaaga sana hawa wana mbogamboga😅!
Ushaiba billion 100 au zaidi af bado linaendelea kugombania madaraka😅
Yaani kama ni safari ya boat tuko Nungwi😅
Dear passengers, its your hostess "MERCIFUL"
We are passing above clouds and turbulence, kindly fasten your seatbelt and straighten your seats!
It's going to be a bumpy ride!!
ILe Kauli ina ukakasi sana maana nawaza why hakutumia neno JOb badala yake akatumia la PMNilijua ni mimi tu ndo nilitilia Shaka kauli hii kumbe tupo wengi!! Hili fukuto mh!
Watamsaidia kushusha temper Ili awe na utulivu hakuna wasiwasi Urais upo tuu.kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!
Kwa kipi hasa?Natamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
ndugai amemtoka kabisaKama ni bungeni ilitakiwa iwe kwa akina ndugai? Kauli hiyo imebeba mengi sana.
Naona ana mpango wa kukwepa kinyang'anyiro cha ndani ya chama, ubabe wa jiwe unajirudia 2025.....ndo maana ya kusema hii ni awamu ya sita ili tupitishwe bila kupingwa kwenye kipindi cha pili cha awamu ya sita, bhagosha.....Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Naenjo naenjoy sanaHiyo ya kusema kulikuwa na mpango wa serikali kuwa ya mpito Ni Jambo ambalo halikuzungumzwa hadharani maybe hizo Ni taarifa za ndani za watu walipanga kufanya now zimekuwa open kuwa Kuna kikundi kilikusudia kukwamisha asiapishwe...tuendelee kula mtori nyama ziko chini...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama ni hivyo basi anatufaa, maana alijiandaa na si bahati mbaya!Mama alikuwa anautamani uraisi miaka mingi alichelewa kuupata.
Mungu amempa tuu walioutaka kitambo hawakuupata....Maendeleo ya Mama yanawapa wenge.Mama alikuwa anautamani uraisi miaka mingi alichelewa kuupata.
Inabidi apatikane spika atakae endesha kampeni tumwongezee muda, huyu wa sasa alikuwa tayari kwa Magu, na aonyeshi utayari kwa mama!Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Hana hofu hata kidogo, muulize pole pole, au bashiru anajua!kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!