Hii kusema "huko kwa kina Kassim" ina maana gani?

Hii kusema "huko kwa kina Kassim" ina maana gani?

Viongozi wetu kama Wazazi wametuvua nguo na inatuletea fedhea kwa Jamii ya Kimataifa. Hatuhitaji kuchochea kuni pangoni bali tunapaswa kuchutama.
Lakini pia wazazi wagombanapo chukua jembe ukalime
 
Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Kigogo ni yeye mwenyewe weninge ni maspika wake tu na yule wa mamwanga.
 
Baada ya magufuli kufariki Kuna watu walitaka kuweka ngumu Samia asipewe.
Ila Mimi nikasema hapana APEWE[emoji16][emoji16]
 
Ndugai, Majaliwa, Lukuvi, ni miongoni mwa watu waliokuwa mstari wa mbele mama asipewe urais. Walitaka kuweka pembeni matakwa ya katiba waliyoapa kuilinda. Ndio maana Ndugai alitaka kuitisha bunge ghafla wabadili vifungu vya katiba! Bahati mbaya kina JK, Pinda, Membe, Kinana, Waryoba, Mabeyo, Makamba Snr,Mangula,TISS manguli wa shughuli walimzima Ndugai. Hawakukoma wameendelea chini kwa chini ukimwacha Lukuvi. . Lilikuwa jaribio baya sawa na kupindua serikali. Ni precedent mbaya ambayo wange set kwa nchi yetu. Unabadili katiba kwa sababu humtaki flani. Nope! Wamesahau ubovu wa katiba unaombeba mtu mmoja aitwae RAIS na akiwa hayupo VP!
 
Ndugai, Majaliwa, Lukuvi, ni miongoni mwa watu waliokuwa mstari wa mbele mama asipewe urais. Walitaka kuweka pembeni matakwa ya katiba waliyoapa kuilinda. Ndio maana Ndugai alitaka kuitisha bunge ghafla wabadili vifungu vya katiba! Bahati mbaya kina JK, Pinda, Membe, Kinana, Waryoba, Mabeyo, Makamba Snr,Mangula,TISS manguli wa shughuli walimzima Ndugai.
Ya kweli haya mzee ?
Na kama ni kweli wataishia hapa
 
Mama kweli kaguswa pabaya
Tunapoelekea ni taarabu na vigoma bungeni[emoji38]
 
Mama kakosea kmuita jina waziri mkuu bila kumpa cheo chake lakini hii inaonyesha huko ndani kuna mengi Sana yanaendelea na kufikia hatua ya kusema hivo basi bila shaka kuna watu watamwagwa muda sio mrefu
Mama hajakosea kitu Kasimu, Ndugai, Siro na aila zao wote hawa ni wapinga maendeleo ya mama,
 
Back
Top Bottom