MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kiukweli nimejaribu kutafakari ili kujiridhisha kuhusu michango inayochangishwa na baadhi ya watu maarufu kuhusu janga la Kariakoo ila naona ni kama utapeli. Ikumbukwe kwa ishu ya Kariakoo tayari serikali iko pale na kusimamia kila kitu kwa 100% huku taasisi kubwa nyeti nchini zikiwa kwa karibu sana na serikali.
Na hadi sasa msaada mkubwa unaohitajika ni jinsi tu ya kuwatoa walionasa. Sasa hawa wenzetu wanaochangisha wananchi pesa nini lengo lao?
Pia soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Ifike sehemu Watanzania tusiwe kama nyumbu kuchanga pesa hovyo hovyo na kuishia kuwafaidisha wahuni wachache. Pia serikali iwe inatoa kibali maalum cha kuchangisha michango na sio mtu kujiamulia tu kisa ni maarufu.
Na hadi sasa msaada mkubwa unaohitajika ni jinsi tu ya kuwatoa walionasa. Sasa hawa wenzetu wanaochangisha wananchi pesa nini lengo lao?
Pia soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Ifike sehemu Watanzania tusiwe kama nyumbu kuchanga pesa hovyo hovyo na kuishia kuwafaidisha wahuni wachache. Pia serikali iwe inatoa kibali maalum cha kuchangisha michango na sio mtu kujiamulia tu kisa ni maarufu.