Hii michango inayochangishwa na watu binafsi kwa ajili ya janga la Karikoo ifuatiliwe

Hii michango inayochangishwa na watu binafsi kwa ajili ya janga la Karikoo ifuatiliwe

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Kiukweli nimejaribu kutafakari ili kujiridhisha kuhusu michango inayochangishwa na baadhi ya watu maarufu kuhusu janga la Kariakoo ila naona ni kama utapeli. Ikumbukwe kwa ishu ya Kariakoo tayari serikali iko pale na kusimamia kila kitu kwa 100% huku taasisi kubwa nyeti nchini zikiwa kwa karibu sana na serikali.

Na hadi sasa msaada mkubwa unaohitajika ni jinsi tu ya kuwatoa walionasa. Sasa hawa wenzetu wanaochangisha wananchi pesa nini lengo lao?

Pia soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Ifike sehemu Watanzania tusiwe kama nyumbu kuchanga pesa hovyo hovyo na kuishia kuwafaidisha wahuni wachache. Pia serikali iwe inatoa kibali maalum cha kuchangisha michango na sio mtu kujiamulia tu kisa ni maarufu.
 
Kiukweli nimejaribu kutafakari ili kujiridhisha kuhusu michango inayochangishwa na baadhi ya watu maarufu kuhusu janga la Kariakoo ila naona ni kama utapeli. Ikumbukwe kwa ishu ya Kariakoo tayari serikali iko pale na kusimamia kila kitu kwa 100% huku taasisi kubwa nyeti nchini zikiwa kwa karibu sana na serikali.

Na hadi sasa msaada mkubwa unaohitajika ni jinsi tu ya kuwatoa walionasa. Sasa hawa wenzetu wanaochangisha wananchi pesa nini lengo lao?

Pia soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Ifike sehemu Watanzania tusiwe kama nyumbu kuchanga pesa hovyo hovyo na kuishia kuwafaidisha wahuni wachache. Pia serikali iwe inatoa kibali maalum cha kuchangisha michango na sio mtu kujiamulia tu kisa ni maarufu.
Serikali ipige marufuku isimamie yenyewe kila kitu
 
Peleka UCHOKO wako huko,leo siku ya tatu bado watu hawajaokolewa halafu jitu zima lina ID ya Samia2025 unaleta UCHOKO wako,kauze mbele huko hayo makalio yako na si JF
Jomba mbona unanitukana bila sababu? Naona imeshakuwa serious.... kila uzi unatukana tu.
 
Hata usisumbuke kufuatilia, Tuliwahi kupokea michango ya Tetemeko la Ardhi lililo haribu miundombinu na makazi ya watu huko Kagera, hatakujua ilitumikaje na nini kilitokea.

Balozi zingine zikajitolea kujenga mashule na kurudisha miundombinu, lakini serikali ikasema walifanya wao, kwasababu tu walitoa SUMA JKT kujenga.
 
Hata usisumbuke kufuatilia, Tuliwahi kupokea michango ya Tetemeko la Ardhi lililo haribu miundombinu na makazi ya watu huko Kagera, hatakujua ilitumikaje na nini kilitokea.

Balozi zingine zikajitolea kujenga mashule na kurudisha miundombinu, lakini serikali ikasema walifanya wao, kwasababu tu walitoa SUMA JKT kujenga.
Lwakatare alikusanya sh ngapi?
 
Kiukweli nimejaribu kutafakari ili kujiridhisha kuhusu michango inayochangishwa na baadhi ya watu maarufu kuhusu janga la Kariakoo ila naona ni kama utapeli. Ikumbukwe kwa ishu ya Kariakoo tayari serikali iko pale na kusimamia kila kitu kwa 100% huku taasisi kubwa nyeti nchini zikiwa kwa karibu sana na serikali.

Na hadi sasa msaada mkubwa unaohitajika ni jinsi tu ya kuwatoa walionasa. Sasa hawa wenzetu wanaochangisha wananchi pesa nini lengo lao?

Pia soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa

Ifike sehemu Watanzania tusiwe kama nyumbu kuchanga pesa hovyo hovyo na kuishia kuwafaidisha wahuni wachache. Pia serikali iwe inatoa kibali maalum cha kuchangisha michango na sio mtu kujiamulia tu kisa ni maarufu.
Huu ndiyo utamaduni wetu wakati wa shida tunachangiana bila kinyongo, toa kaka toa mungu atakuongezea zaidi na zaidi.
 
Sasa unachanga kumchangia nani na serikali inagharamia kila kitu??
Kwani kuna mkwamo pahala??

Ingekua ni kuchanga kwa ajili ya kitu fulani kimekwama sawa ila hii kuchanga changa tu ni mipigo ambayo wajanja washajua kucheza na hisia za wabongo.

Labda mjichange wachache wachache kwenda kuwaona wahanga la sivyo ni mpigo huo na vile tinajikuta tuna huruma, mchangishaji atataja Mungu Mungu, Allah Allah nyingi kwenye kuchangisha ili awaokote vizuri.
 
Back
Top Bottom