Hii michango inayochangishwa na watu binafsi kwa ajili ya janga la Karikoo ifuatiliwe

Walaumiwe wanaotuma na sio wachangishaji
 
Serikali na wenyewe wameweka bakuli. Bora kuchanga kwa mtu baki kuliko serikali.
 
Duh! ...usitukumbushe mkuu yale ya Kagera enzi zile maana....
 
Ulichoandika inaonyesha una wivu pia kwa Niffer, nawe unauza nini?

Umejiandika kwa sababu unafikiri kila mtu kama wewe.
Utapeli wabongo tunawajuwa
Hapo angewapelekea biskuti,juice za 500 basi pesa zingine zingewekwa kibindoni


Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ