Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Kuna mfanyabiashara hapa ddm leo kashusha midoli za kike piss 1000
 
Huku niliko mimi... Naona ni sayari nyingine kabisaa...

Huku ni midoli ya kiume tu!.... Mashine zimening'inia uchi! Utadhani mikungu ya ndizi!

Serikali iliangalie hili maana ni karibu na shule ya wasichana tu!... Nawaonaga wanavyozishika shika naniliu..!.. ndio maana dildo zimepata soko!
 
Juzi nilipita kariakoo nikakuta mdoli unavalishwa nguo, jinsi ulivyokuwa umeshikwa ulikuwa unavutia hisia sana, jamaa akawa anavalisha taratibu huku akipiga stori na wenzake. Hilo lilikuwa ni shambulizi la kisaikolojia
Mawazo yako ya ngono muda wote hayawez tuzuia sisi kufanya kazi,

Acheni kujaza masheria
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaah
 

Yaani midori ni shida? Unapata wapi muda wa kushangaa midori, wakati ukitembea tu mjini watoto wa kike wapo nusu uchi!?
Tafuta kazi, ya kufnya, mkimaliza midori, mtakuja na kusema wasichana wasivae jinzi,za kubana, wasivae min skirt, kuna kiongozi, mmoja alisema, mabinti wanaopanda bodaboda wasijibinue makalio!
Nchi inamatatizo ya, ajira, cha kula, elimu, ufisadi, wewe unasumbuliwa na midori!?
 
Umeongea kitu muhimu sana ambacho kwa kweli ni ishara ya viongozi wetu kukosa kauli ya mamlaka

Mimi huwa najiuliza, hivi zamani nguo za ndani za kina dada zilikuwa haziuzwi? Mbona tulikuwa hatuzioni nje zikiwe zimevalishwa midoli? Dada zetu na mama zetu wanaona raha mfano wa maungo yao ya ndani yanavyoanikwa hadharani kwenye midoli?

Hili jambo si la kufumbia macho ni la kuchulia hatua kabisa. Mimi naamini biashara ya nguo za ndani ilikuwepo toka zamani na ilienda vizuri tu bila hii midoli

Cha kushangaza zaidi, midoli mingi inavalishwa chupi za mitindo mbalimbali za kike. Mbona boxa za wanaume hazitundikwi kwenye midoli, inamaana wanaume wao hawavai nguo za ndani??

Cha kushangaza zaidi, uzi umevamiwa na vijana wanaotumia mihemuko kufikiri badala ya kutafakari jambo kwa kina

Kwani kuuza nguo kunategemeana na midoli? Maduka mengi ya nguo yana chumba maalumu cha kujaribu nguo kama imekukaa vizuri au laa, hii midoli ni ya nini sasa?

Gwajima angalia hili linakudhalilisha hata wewe kama mwamamke
 
Ikoo KILA sehemu kosaa wasiyavalishe cdm TU

Else subiria wanyakyusaa wakusikie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…