Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii midoli ya madukani ni udhalilishaji wa wanawake. Waziri Gwajima piga marufuku matumizi yake

Hii mada mtoa mada ameileta ni point kubwa ila pengine uwasilishwaji wake.

Si sahihi kuweka midoli nje ya duka bila kuvalisha nguo ni hatari sana kwa tafsiri za jamii kuanzia watoto wadogo mpaka watu wazima kwa maana ya udhalilishaji.

Kwa kiongozi huu kwake tunaeza mpatia mtihani ikawa yeye ni ngumu kutatua tatizo hili.

watu wa sanaa na utamaduni pamoja na maadili wakemee kwa kusema na kupiga marufuku au faina ya kuweka midoli mitupu bila kuvishwa nguo nje ya duka....iwekwe faini na adhabu kwa hili....angalau Tanzania iwe na maadili na nchi jirani ziige kwetu.

Kama Mh. Dkt. Gwajima D atahusika na hili sio vibaya pia.
Tunaeza=tunaweza, pumbavu kabisa!
 
Ndugu Nyamesocho unahoja kubwa sana japo watu watachelewa kukuelewa na nadhani kwa sababu zifuatazo:-

1. ATHARI YA KUONA WANAWAKE WAKITEMBEA NUSU UCHI
Watu wengi wanashindwa kuona uzito wa hoja yako kwakuwa wameathirika na mwenendo wa wanawake wengi wa sasa juu ya mavazi yao. Wengi katika wachangiaji wanaishia kulinganisha hali halisi ya wanawake kwenye mavazi na hiyo midoli na hivyo kuifanya hiyo midoli kuweka bila stara kwamba sio kitu. Kwa kifupi tu,kama kuona LIVE kupo na kushazoeleka sasa RECORDED inakusumbua vipi?

2. KIASHIRIA CHA NAMNA GANI MAADILI YETU YAMEMOMONYOKA.
Hoja namba moja inaenda sambamba na hii,tofauti ni kwamba hii ni hitimisho lake. Waingereza wanasema "Two wrongs dont make it right", na ndicho kinachotokea hapo. Watu kuchukulia kawaida tena hadi kuleta mzaha ni kipimo tosha cha kiasi gani maadili yetu hayapo sawa kwa kiwango kikubwa kama tulivyozoea kusikia kwa mababu zetu. Japo hata wao ndipo athari zilipoanzia ila hakukuwa na mitandao kuchagiza hayo masuala.

Hivyo ni kweli kabisa hiyo midoli inaathari,watu wapende kukiri ama wasipende na wadhihaki kwamba unateseka kwa kuona midoli. Na kuthibitisha hilo hata wanayoyatumia kama display ya products zao wanaelewa target yao ni hiyo kushawishi watu. Na vina uhusiano kati ya sanamu za ulaya na magharibi zinazoonyesha maumbile na hii midoli ya kwetu sema watu ni wavivu kufatilia malalamiko ya watu wa ulaya juu ya masanamu hayo na pengine hufikia hatua hata kujaribu kuyaharibu kwa kuyavunja. Ni sisi tu ndo hupenda kupiga nayo picha ili kuonyeshea watu kama kielelezo cha kufika ulaya!

Wizara na Mama Gwajima kama inahusika na hili,nalo ilitizame kwa namna ya kipekee. Sio njia pekee ya kufanya biashara hiyo ya nguo.
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Muda mwingine haya Maisha hayahitaji u seriousness kila muda 😂😂😂😂

Kwa MAANA hiyo unataka kusema chaputa TAIFA 0- Midoli fc 1

Tupunguze u serious mkuu kwenye kila Jambo

Ni ushetani kuangalia MIDOLI na kuitamani
 
Ni midoli ya kike tu au hata ya kiume ? Hoja yake nzuri iangaliwe . Just imagine mtoto anamuuliza mama yake ukiwa huna nguo ndio unakuwa kama Yule?
 
Kwani picha za ngono huwa zina lolote lakini ukiziangalia huwa unahisi nini? Lile limdori limebeba sura na umbo la binadamu kuna tofauti gani na picha za uchi ?
Mimi km dada yako nakushauri kemea hilo pepo la uzinzi uliopitiliza… km kwa mdoli unadisa vipi ukiona uchi live hata wa mtoto au kikongwe??? Hiyo roho ndio mnabaka mpk vichaa watu km nyie.
Anza sala ya toba ukemee hilo roho chafu.
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Kuna dini huwa hawatak midoli ni wajinga sana kama wewe
 
Ndugu Nyamesocho unahoja kubwa sana japo watu watachelewa kukuelewa na nadhani kwa sababu zifuatazo:-

1. ATHARI YA KUONA WANAWAKE WAKITEMBEA NUSU UCHI
Watu wengi wanashindwa kuona uzito wa hoja yako kwakuwa wameathirika na mwenendo wa wanawake wengi wa sasa juu ya mavazi yao. Wengi katika wachangiaji wanaishia kulinganisha hali halisi ya wanawake kwenye mavazi na hiyo midoli na hivyo kuifanya hiyo midoli kuweka bila stara kwamba sio kitu. Kwa kifupi tu,kama kuona LIVE kupo na kushazoeleka sasa RECORDED inakusumbua vipi?

2. KIASHIRIA CHA NAMNA GANI MAADILI YETU YAMEMOMONYOKA.
Hoja namba moja inaenda sambamba na hii,tofauti ni kwamba hii ni hitimisho lake. Waingereza wanasema "Two wrongs dont make it right", na ndicho kinachotokea hapo. Watu kuchukulia kawaida tena hadi kuleta mzaha ni kipimo tosha cha kiasi gani maadili yetu hayapo sawa kwa kiwango kikubwa kama tulivyozoea kusikia kwa mababu zetu. Japo hata wao ndipo athari zilipoanzia ila hakukuwa na mitandao kuchagiza hayo masuala.

Hivyo ni kweli kabisa hiyo midoli inaathari,watu wapende kukiri ama wasipende na wadhihaki kwamba unateseka kwa kuona midoli. Na kuthibitisha hilo hata wanayoyatumia kama display ya products zao wanaelewa target yao ni hiyo kushawishi watu. Na vina uhusiano kati ya sanamu za ulaya na magharibi zinazoonyesha maumbile na hii midoli ya kwetu sema watu ni wavivu kufatilia malalamiko ya watu wa ulaya juu ya masanamu hayo na pengine hufikia hatua hata kujaribu kuyaharibu kwa kuyavunja. Ni sisi tu ndo hupenda kupiga nayo picha ili kuonyeshea watu kama kielelezo cha kufika ulaya!

Wizara na Mama Gwajima kama inahusika na hili,nalo ilitizame kwa namna ya kipekee. Sio njia pekee ya kufanya bishara.
You nailed it man. Hii ya watu kumshangaa mleta mada ni ishara ya kwamba watu maadili yalishawamomonyokea sana kiasi kwamba hawana cha kupoteza.

Kwa mtindo huu, siku za zimekaribia watu wataanza kutembea pussy na cocks zikiwa wazi bin mbashara. Tutaanza kuona watu wananyanduana live (na hili nililishuhudia nikiwa Chuoni na Uwanja wa Taifa).
 
Mimi km dada yako nakushauri kemea hilo pepo la uzinzi uliopitiliza… km kwa mdoli unadisa vipi ukiona uchi live hata wa mtoto au kikongwe??? Hiyo roho ndio mnabaka mpk vichaa watu km nyie.
Anza sala ya toba ukemee hilo roho chafu.
Dada, hisia za mwanamke na mwanaume ni tofauti. Labda mwanaume huyo asiwe na nguvu za kiume.Elewa anachokisema mwamba.
 
Watu
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Watu kama nyie hamchelewagi kubakwa vitoto vichanga, huo ni ugonjwa hujachelewa Anza kutafuta tiba.
 
Kuna hii midori, sijui wanaitaje mwanasesere, sijui watu wengine wanaitaje, inatumiwa na wafanyabiashara wa nguo kuvalisha nguo za kuuza

Maumbile ya kile kitu yanarandana na mwanamke na mbaya zaidi yametengenezewa matiti fulani yenye mvuto kwa wanaume.

Udhalilishaji wake ni kwamba kuna wafanyabiashara wengine wanayasimamisha nje ya maduka yao yakiwa uchi bila kuvalishwa nguo

Watu wazima wanapita, wamama, vijana na watoto wanapita wanayaangalia yakiwa uchi
Tunajenga picha gani kwenye jamii na watoto wetu wanajifunza nini na maadili ya Taifa hapo yatakuwepo kweli?

Kama Taifa tunasisitiza picha za kuashiria mmomonyoko wa maadili ni marufuku lakini ya hii midoli haizingatiwi

Kwani nguo zikitundikwa kwenye Kamba na springs hazitauzika?

Hiki kitu hakipo sawa kwenye jamii, Waziri piga marufuku matumizi ya hiki kifaa
Wacha Ushamba huo Nyame hata Italy yapo hayo madoli labda yanakupa ashiki flani ndio maana hujui kama biashara ni itembezwayo Baba upo 21 century wake up.
 
Back
Top Bottom