1.Ndiyo hivyo nilitumia tafsida tu wakishapata hela wanaenda kulala(kufanya starehe).
2.Waongo ,hakuna kazi isiyochosha ,tatizo hwajui wanachofanya ,hawajui muda gani wa kufanya kazi muda gani wa kupumzika ,hajui kusoma trend ya biashara yake ,kuna muda hakuna wateja huo muda ndiyo wautumie kupumzika.
3.Wengi ni wazushi ,waongo waongo ,inabidi wapewe elimu ,wafanye kazi kiprofessional kama Bolt/Uber ,wawe waaminifu hapo wataaminiwa na watapata kazi nyingi sana za simu .kazi za simu ndiyo zenye hela,washua hawawapi kazi za simu kwasababu waongo na lopolopo(hawana siri),si waaminifu.
4.Nakubaliana na wewe 100%.