entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 286
- 539
1. Kwenye nyumba uliyopanga ukiumwa mwenye nyumba anakusamehe kodi?2years nonstop
HApo upaswi Hata kuumwa[emoji848]
2. Hapo ulipoajiliwa ukiumwa boss anakuelewa?
Ipo hivi dereva ukipatwa na changamoto yeyote itakayokufanya usifanye kazi wataarifu wanachukua chombo chao mpaka utakaporekebisha mambo yako unakifata.