Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

Kwanza nani anaruhusu usafiri wa bajaji kuwa umma...kwenye mji kama Dar

Yaani tuliondoa vipanya sasa mji umerudi kwenye vibajaji...

Serikali ni wazembe...tengenezeni ajira, fungueni viwanda nk...siku hiz hata kiwanda cha sunflower and sundrop yamepotea viwanda vimefungwa...vijana wote wanakuwa boda na bajaji
Hii nchi tumelaaniwa
 
Kwanza nani anaruhusu usafiri wa bajaji kuwa umma...kwenye mji kama Dar

Yaani tuliondoa vipanya sasa mji umerudi kwenye vibajaji...

Serikali ni wazembe...tengenezeni ajira, fungueni viwanda nk...siku hiz hata kiwanda cha sunflower and sundrop yamepotea viwanda vimefungwa...vijana wote wanakuwa boda na bajaji
Hii nchi tumelaaniwa
Alafu unasikia machawa wanasema mama anaupigwa mwingi mitano tena
 
Milioni 21 na ushee hapo ndani ya miaka miwili kwa biashara ya bajaji hutu

Ndugu ..
Kwa kawaida hiyo Laki 7 hua inatolewa na sio kuongezewa kama ulivyofanya..

Anyway
Kuongeza au kupunguza haileti tofauti yeyote bado hiyo ni biashara ngumu ila ugumu wa maisha ndio hufanya watu kufanya hizo sacrifices
 
Ok ila rejesho la 28k wanaliweza.
Sina jibu la moja kwa moja kwasababu.
1. Tabia zetu waswahili za kujisifia (kusema uongo/ kupika taarifa)
2. Sijui undani wa hiyo kazi ( nakaa kijiweni nikiwa na mda/nikikutana nao ndio tunaongea)

Ila naweza kusema wanafikisha kwa sababu
1. Maisha ya kumudu gharama za kila siku
2. Hawajawahi kunyang'anywa ukishindwa rejesho wanazichukua bajaj zao
3. Week iliyopita mmoja alipata ajali ilitakiwa laki sita hakubabaika aliilipa (aligonga ukahitajika upasuaji)
4. Wanacheza michezo ( waswahili /wamama watanielewa) kwa siku 10,000 mwengine 5,000 kwa siku kama anapata excess ya 10,000 inamaana anafikisha hiyo hesabu

Siku za weekend nashindaga kijiweni nilichokiona kwa watu wanaofanya kazi hizi ni.
1. Umalaya na wanawake wanajirahisha sana
2. Kuchoka mara nyingi nawasikia wakidai kuchoka kuendesha chombo
3. Kazi inayotaka uwe na akili iliyotulia ukiwa na wenge unasababisha kitu na kitakugharimu mfano ajali
4. hawathamini pesa swala la kula 5000 mchana kwake ni kawaida, kuhonga kwa sana.
5. Vijiweni kuna watu hawana kazi wanapasiana trip ili mwenzao asikae kinyonge hii inapelekea uharibifu wa chombo na kupoteza target ya kipato kwa siku hiyo
6. Elimu ya fedha hawana hawajui cha kufanya ili kujikuza labda ndio maana wanamatumizi rafu.

NIELEWEKE: SINAMANUFAA NA KAMPUNI ZA KUKOPESHA ILA NASEMA NINAYO YAONA KWA VIJANA WENZANGU NA KUTOA MAELEZO KWA MWENYE NIA AWE NA ABC AAMUE ATLEAST AKIWA ANAFAHAMU KITU
 
Hata kama wanatengeneza wenyewe hiyo hela ni kubwa sana hapo unaingia kwenye kitanzi cha wazi wazi. Kwanza huo ni zaidi ya wizi na unyanyasaji wa kiuchumi
Hii hata maboss wa mtaani wanafanya sema kulalamika ndio jadi yetu sisi watanzania
 
Mkuu achana nao usiwasanue sana, Mtu m bishi muacha hvo hvo, si ipendi riba hata chembe, maana yake hyo bajaji within 2 years iyo bajaji isha choka na kuchoka, itabidi uanze ku weka sawa, it's too bitter, maana hiyo bajaji lazima iende mwendo wa ngiri,
Vitu vingine vikibaki vilevile Utunzaji wa chombo ndio utaamua kitaishi mda gani, kuna bajaj namba B zinapiga show...
 
Aisee nilikua na wazo hili, ila dah!

Nilikua na wazo hili ila duuuh! Aisee! Ni hatari si thubutu! Nakumbuka niliingia mkopo wa sola kipindi fulani kwa elfu 3 kwa siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa miaka miwili, sitokaa ni sahau
Hutajua bila kujaribu sisi waswahili tunajua kutafuta kazi tu sio kujaribu vitu vya kujiajiri wenyewe
 
Eeh wadanganye hivyo hivyo,Bajaj yenyewe ni RE hiyo mpaka anamaliza huu utumwa haitakaa miaka miwili haijafa

Nikuulize,dereva akipitisha siku mbili hajaleta hesabu huwa anachukuliwa hatua gani?faida ya kwanza ya boss wa mtaani anasomesheka kwamba hesabu leo amepelekea mwanae mgonjwa hospital sasa kwenye kampuni athubutu kufanya hivyo aone.
1.Hesabu hawarudishi kwa siku ni kwa wiki ambayo ni 194,000..
2. Bajaj ni RE kweli zinavuma kwa ubaya sababu hazipendi ujanja wetu wa kutojali vyombo vya moto.
3. Kurejesha hesabu kikubwa kila week uwaekee chao hata kama hujafikisha hiko kiasi
4. Kwangu kampuni ni bora kuliko boss wa mtaani (maboss baadhi yao wanauswahili na karaha za hapa na pale)
 
Dhamana si ni hiyo hiyo bajaji? Ukute anafurahia Engine na Gearbox mpya, anachukua anaendesha kidogo, anahamisha vifaa kwenye bajaji yake chakavu anaanza kususa sua marejesho, ananyang'anywa.
Umeambiwa ikiharibika wanatengeneza kampuni.
Ukibadili engine na gearbox watajua tu watakufunga.
 
Back
Top Bottom