BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Hiki kiasi hata wenye maduka ya jumla ya bidhaa za nyumbani hawaipati.Umaskini kitu kibaya sana. Unaharibu hadi uwezo wa kufikiria. Rejesho la 28,000 kwa siku ni utumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kiasi hata wenye maduka ya jumla ya bidhaa za nyumbani hawaipati.Umaskini kitu kibaya sana. Unaharibu hadi uwezo wa kufikiria. Rejesho la 28,000 kwa siku ni utumwa
Mwaka huu Mwezi wa 3. Bajaji nimeinunua ipo vizuri ni namba B na kila mtaalamu anaishangaa.Mkuu ilikua mwaka gani kianzio cha 1 milion na marejesho ya 22k na vp hiyo bajaji haisumbui?
Ulinunua pesa ngapi bossMwaka huu Mwezi wa 3. Bajaji nimeinunua ipo vizuri ni namba B na kila mtaalamu anaishangaa.
Hapa nimesafiri nayo kikazi umbali wa kilomita 70.
Duh. NimeshatajaUlinunua pesa ngapi boss
Ukitapeliwa ni tamaa zako zimekupeleka huko wewe unataka serikali ikufungie ndani usiende kwa matapeli?Sidhani kama umenielewa au pengine kuna mambo unapitia maishani yanayokuvuruga ndio maana unapanik kwenye mambo madogo yanayohitaji fikra ndogo kiuchanganuzi........
Ngoja nikufafanulie....kidogo....
Serikali ndio msimamizi wa shughuli zote za kiuchumi kupitia sera, Sheria na taratibu zilizowekwa.......
Pamoja na kuwa tupo kwenye soko huria lakini pia kuna muongozo wa kuongoza shughuli hizo..........hata haya mambo ya makopo yana utaratibu wake.......kinyume na utaratibu maana yake ni utapeli.......
Sawa...uwe na wakati mwema nduguUkitapeliwa ni tamaa zako zimekupeleka huko wewe unataka serikali ikufungie ndani usiende kwa matapeli?
Ni kama kusema serikali izuie watu kufanya ngono maana watapata ukimwi
Kwasaaa biashara ya boda ni ngumu kuliko bajaji,,,na bei bajaji kwa sasa 10-12M kwa mafuta na gesi.Ukiwa na akili timamu huwezi kufanya huo ujinga.
Hiyo laki saba bora ajiongeze kidogo achukue bodaboda tu.
Bajaji moja unanunua kwa bei ya bajaji 3.
BOT hamna kitu mule,kazi yao ni kulipana mishahara minene ty huku wananchi wanaumiaBot sijui wanafanya kazi gani, hii nchi kweli inajiendesha yenyewe.
Sio wakala ila kuna jamaa angu anafanya hapo, kuna watu nawafahamu wamechukuaWewe ni. Wakala wa Hilo kampuni
Ok ila rejesho la 28k wanaliweza.Sio wakala ila kuna jamaa angu anafanya hapo, kuna watu nawafahamu wamechukua
Hiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo
Wameyataka wenyewe hakuna mtu aliyemuita aje akope shida zake ndiyo zimemletaUtawanyoosha ila haitaondoa ukweli kuwa mnautumia udhaifu wa serikali kuwanyonya watanzania wenzenu.
Kwa mkataba huu ata mke anatoka speed Mungu tusimamiePitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu
Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
Gas Kuja kuipata mtihani foleni yake si mchezoHiyo mbona inalipika tu...huenda ni Kwa vile hamfahamu bajaji analaza kiasi gani!! Jamaa yangu bajaji yake kaifungia mfumo wa gesi...akinunua gesi ya tsh 8000 Hadi ikiisha ameingiza elfu 90 (90,000.00) na hiyo ni ndani ya saa 24!
Dhamana si ni hiyo hiyo bajaji? Ukute anafurahia Engine na Gearbox mpya, anachukua anaendesha kidogo, anahamisha vifaa kwenye bajaji yake chakavu anaanza kususa sua marejesho, ananyang'anywa.Broh kuna jamaa nimemkuta anafurahi huyo bila kujal changamoto atayokutana nayo hapo baadae
Kwenye foleni ya gesi hapo ndipo kwenye mtihani...Gas Kuja kuipata mtihani foleni yake si mchezo
Ni kama ile mikopo ya simuPitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu
Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
Kuna jirani yangu mdada siku natoka job namuona duka la simu za mikopo anafuraha huyo anapiga picha ya selfie na muuzaji ( katika ununuaji wa simu za mkopo moja ya kipengele muhimu cha kupewa tambo ni lazima upige picha ya selfie na muuzaji kwa ushahidi)Hawa pamoja na wanao nunua simu za mikopo akili zao zina fanana