Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

Hii Mikopo ya Bajaji sasa imekua kama kausha damu, tuwe makini

Pitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu

Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
Financial discipline ni ugonjwa wa dunia
 
Nilijikuta ninanunua bajaji baada ya kuambiwa kwamba ya mkopo kianzio ni milioni 1 halafu rejesho ni elfu 22 kwa siku.

Nilichokifanya niliongeza laki 5 na kupata milioni 1.5 nikanunua bajaji used na kuirekebisha kwa laki 5.

Kijana kama unaweza kuwa na laki 7 au milioni ya kianzio cha mkopo wa bajaji basi unaweza ukajiongeza ukanunua bajaji used.

Namba B ni 1.3-2.3m

Namba C ni 2.5-3.5m

Namba D 4-5.5m
 
Nilijikuta ninanunua bajaji baada ya kuambiwa kwamba ya mkopo kianzio ni milioni 1 halafu rejesho ni elfu 22 kwa siku.

Nilichokifanya niliongeza laki 5 na kupata milioni 1.5 nikanunua bajaji used na kuirekebisha kwa laki 5.

Kijana kama unaweza kuwa na laki 7 au milioni ya kianzio cha mkopo wa bajaji basi unaweza ukajiongeza ukanunua bajaji used.

Namba B ni 1.3-2.3m

Namba C ni 2.5-3.5m

Namba D 4-5.5m
Hii nzuri
 
Hiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo
Mkuu mm nilifika ofisini kwao hicho nilichoandika kwenye bandiko sijaongeza chumvi ni kile nilichoanbiwa na mtoa huduma na nilikuta jamaa wanalipa huku wakidai hiyo hesabu inawezekana kwa siku
Sina lengo la kuwaharuibia biashara hawa jamaa
 
Nilijikuta ninanunua bajaji baada ya kuambiwa kwamba ya mkopo kianzio ni milioni 1 halafu rejesho ni elfu 22 kwa siku.

Nilichokifanya niliongeza laki 5 na kupata milioni 1.5 nikanunua bajaji used na kuirekebisha kwa laki 5.

Kijana kama unaweza kuwa na laki 7 au milioni ya kianzio cha mkopo wa bajaji basi unaweza ukajiongeza ukanunua bajaji used.

Namba B ni 1.3-2.3m

Namba C ni 2.5-3.5m

Namba D 4-5.5m
Mkuu ilikua mwaka gani kianzio cha 1 milion na marejesho ya 22k na vp hiyo bajaji haisumbui?
 
Hiyo kampuni marejesho sio 28,000 ni 27,714 ambapo kwa wiki ni 194,000 faida yake ikiharibika wanatengeneza wenyewe kwa kipindi chote cha mkataba 2yrs. Kuna kampuni rejesho ni 31,200 na kila kitu ni kwa dereva.
Hii inafanyika hata kwa maboss wa mtaani na ni kawaida kabisa walio katika kiwanda hiki wanajua ndio maana kelele hamna.
Kwa kiasi flani haya makampuni yamekuwa mkombozi kwa watu kwasababu maboss wa mtaani manyanyaso yalikuwa makubwa sana kwa madereva wengine wanasubiria mkataba unataka kuisha anakutafutia makosa anakunyanganya chombo
Wanajua miaka 2 ikifululiza roads haina matengenezo makubwa labda upate ajali. Na baada ya miaka 2 kwisha hiyo Bajaj inapoteza nguvu yake Magonjwa ya Engine yanaweza kuanza kutokea.
Bado dereva analiwa tu
 
Back
Top Bottom