Duniatunapita man
Senior Member
- May 5, 2024
- 181
- 252
Unaweza kukosa usingiz, kukosa hamu ya kula etc, etc
Mikopo inaumiza sana basi tu kuna muda mtu unakua hauna namna......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mikopo inaumiza sana basi tu kuna muda mtu unakua hauna namna......
Hii ni Dar bila shaka mkuu?Madereva wenyewe wanatamba kwa siku hawakosi 100k kosakosa sana 80k hivyo 28k sio kitu
YaaaaapHii ni Dar bila shaka mkuu?
Ajira hazipo, tufanyeje?Umaskini kitu kibaya sana. Unaharibu hadi uwezo wa kufikiria. Rejesho la 28,000 kwa siku ni utumwa
Huko pesa ipoYaaaaap
Hakuna kitu kama hicho kwa "biashara" ya Bajaj kwa Sasa. HAKUNAMadereva wenyewe wanatamba kwa siku hawakosi 100k kosakosa sana 80k hivyo 28k sio kitu
Sasa hiyo 20mil mtu anaichukulia akiwa mkoa ganiHuko pesa ipo
Mitano Tena!Pitapita zangu maeneo ya town nikaona bango kubwa linalohusu mkopo wa bajaji na pikipiki nikaamua isiwe shida ngoja nijisogeze yaliyojiri ni kama yafuatayo;
Aina ya bajaji ni RE
Kianzio cha mkopo ni 700,000 na marejesho kwa siku ni 28,000 kwa miaka miwili inamaana hapa ndani ya miaka miwili unarejesha zaidi ya 20 milion aisee huu ni unyonyaji wa hali ya juu
Halafu nimekutana na jamaa pale ndo anatoa hiyo pesa anafurahi na kusema marejesho ya elfu 28,000 kwa siku kwake haisumbui huyu jamaa atakuja juta baadaeView attachment 3115668
Sio mm ni hao maafisa usafirishaji na siwezi kumbishia mtu maana sipo kwenye hiyo sectorHakuna kitu kama hicho kwa "biashara" ya Bajaj kwa Sasa. HAKUNA
Hapa kwenye simu za mkopo najiuliza wanapataje faidaHawa pamoja na wanao nunua simu za mikopo akili zao zina fanana
Rejesho la shilingi ngapi kwa siku sio utumwa?Umaskini kitu kibaya sana. Unaharibu hadi uwezo wa kufikiria. Rejesho la 28,000 kwa siku ni utumwa
Mitano Tena sio utumwaRejesho la shilingi ngapi kwa siku sio utumwa?
Hata huku mikoani inawezekana ila utamaliza uko hoi...Sasa hiyo 20mil mtu anaichukulia akiwa mkoa gani
Na kwa barabara za huko ni balaaaaaHata huku mikoani inawezekana ila utamaliza uko hoi...
Yaani bajaji hoi na afya yako hoi pia...
Hatari mkuu...Na kwa barabara za huko ni balaaaaa
Hiyo mbona inalipika tu...huenda ni Kwa vile hamfahamu bajaji analaza kiasi gani!! Jamaa yangu bajaji yake kaifungia mfumo wa gesi...akinunua gesi ya tsh 8000 Hadi ikiisha ameingiza elfu 90 (90,000.00) na hiyo ni ndani ya saa 24!Kwa kweli hili jambo inabidi serikali iliangalie kwa jicho la pili......vijana wanakamuliwa sana......
Kwa life span ya bajaj ni wazi kuwa unamfanyia kazi mwenye bajaji......ni vigumu kwa mchaka mchaka WA mjini hapa kwa bajaj kutoboa miaka miwili........