Hii mimba itakuwa ya nani?

Spana za humu 😹🙌
Nitarudi kusoma kesho..!
 
Mimba ni ya B Siku ya 15 ambayo fertility na ni siku ya ovulation, huyo A hata asingetumia P2 asingeweza kubeba mimba. Nawasilisha
 
Mbunye imepokea sperm aina mbili tofauti ndani ya siku nne, ikaongezewa na P2, hawa viumbe ni hatari sana
Yani wakati sperm za kwanza zinaisha makali, zikingizwa zingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
 
Punguza wanaume hadi hujuwi mimba ni ya nani kweli wanaume wanapitia mengi.Wewe Lea hiyo mimba mwenyewe uzinzi wako umekuponza. Kataa ndoa kataa udanganyifu.
 
Amevuna madunda ya umalaya, atafute jibu mwenyewe,

Any decision you make in life you will be responsible and accountable for
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…