Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna malengo nae unalaza mshale kimya kimyaBahati mbaya akiliwa kabla yako utajua hasa kama ulishawahi mpitia
Mwamba kabisa!!😁😁😁Leteni huku kama kila mtu anaikwepa
kazi kweli kweliBalaaa jana kule kesho huku kesho kutwa kuleeeee
Kuna baadhi ya wasichana p2 huwa hazisaidii au katumia sana Hadi kuwa sugu.Mzunguko wake siku 28, Lakini Mkuu ikumbukwe alikunywa p2 baada ya kutoka kwa A...
Kwa hiyo kuna uwezekano mimba ikawa ya A😳Kuna baadhi ya wasichana p2 huwa hazisaidii au katumia sana Hadi kuwa sugu.
Mzunguko wa Siku 28 hakuna mimba siku ya 20 hata kama mbegu hukaa si zaidi ya masaa 72 ila yeye masaa zaidi ya 96 baada ya sex ya siku ya 16
Unajua comment yako imefanya tupate taharuki elezea in deep pleaseKuna baadhi ya wasichana p2 huwa hazisaidii au katumia sana Hadi kuwa sugu.
Mzunguko wa Siku 28 hakuna mimba siku ya 20 hata kama mbegu hukaa si zaidi ya masaa 72 ila yeye masaa zaidi ya 96 baada ya sex ya siku ya 16
Sidhani maana ingekuwa hivo asingekunywa p2Mimba ni ya kijana B, ingawa unaonekana unataman iwe ya kijana A lakini ndo hivyo tena.
Kwanini?Bila shaka wewe unatokea SINGIDA.?
Mimba ni ya B kwa zaidi ya 1000%Sidhani maana ingekuwa hivo asingekunywa p2
Sidhani maana ingekuwa hivo asingekunywa p2
Hapana lengo sio hilo,lengo ni kupata uhakika maana kuna watu wanadai unaweza tumia p2 na ukapata mimba hasa kulingana na mazingira ya rafiki hapa lazima kuwe na hofu kidogoHapo B itakuwa hana mpunga inatafutwa Justification ya A kubebeshwa zigo.
Mbona unamsemea sasa? Hahaha 🤣Asa wa p2 atamuelewa kweli? 😂
Yeah possibility ipo ya kufailIna maana p2 inaweza kufail maana hapo pa kusema DNA