Hii mimba itakuwa ya nani?

Hii mimba itakuwa ya nani?

Mzunguko wake siku 28, Lakini Mkuu ikumbukwe alikunywa p2 baada ya kutoka kwa A...
Kuna baadhi ya wasichana p2 huwa hazisaidii au katumia sana Hadi kuwa sugu.

Mzunguko wa Siku 28 hakuna mimba siku ya 20 hata kama mbegu hukaa si zaidi ya masaa 72 ila yeye masaa zaidi ya 96 baada ya sex ya siku ya 16
 
Kuna baadhi ya wasichana p2 huwa hazisaidii au katumia sana Hadi kuwa sugu.

Mzunguko wa Siku 28 hakuna mimba siku ya 20 hata kama mbegu hukaa si zaidi ya masaa 72 ila yeye masaa zaidi ya 96 baada ya sex ya siku ya 16
Kwa hiyo kuna uwezekano mimba ikawa ya A😳
 
Kuna baadhi ya wasichana p2 huwa hazisaidii au katumia sana Hadi kuwa sugu.

Mzunguko wa Siku 28 hakuna mimba siku ya 20 hata kama mbegu hukaa si zaidi ya masaa 72 ila yeye masaa zaidi ya 96 baada ya sex ya siku ya 16
Unajua comment yako imefanya tupate taharuki elezea in deep please
 
Hapo B itakuwa hana mpunga inatafutwa Justification ya A kubebeshwa zigo.
 
Hapo B itakuwa hana mpunga inatafutwa Justification ya A kubebeshwa zigo.
Hapana lengo sio hilo,lengo ni kupata uhakika maana kuna watu wanadai unaweza tumia p2 na ukapata mimba hasa kulingana na mazingira ya rafiki hapa lazima kuwe na hofu kidogo
 
Back
Top Bottom