Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Makamba! Huyu mpumbavu tu kama akina Nape hana tofauti! Na laana ya kumtukana Magufuli itamtafuna mpaka mwisho wake! Watu hawamtaki na kamwe hata weza kufikia matamanio yake na genge lake la mafisadi
Kama kweli hizo laana zipo sipati picha wale waliowapoteza watanzania wenzao itakuwaje
 

Nakubaliana na wewe kwenye baadhi ya mambo ila sikubaliani na hili la ufisadi kwenye mirasi ya JPM.

Wewe Chahali ni fisadi pia kwakua, mlipoenda Marekani na wenzako kwaajili ya kuongeza ujuzi, CIA waliwa propose muwe double agents.

Mlipo rudi wewe na mwenzio hamkuripoti hilo lakini wengine waliripoti juu ya njama za CIA.

Wewe uliendelea kujilia hela toka USA mpaka ulipokua Uingereza na USALAMA walikuchana kwa ushahidi na kuachishwa na kukabiliwa na uhaini.

Uko Glasgow kwa sasa na ulikua ukiishi na bibi kizee. Huku iwezi rudi!

Kwasasa huna pande sahihi za kukupa data. Miradi haina ufisadi.

Ni kweli JK ndio rais wa nchi hii kwa sasa.
 
Badala ya kumtazama mtu mmoja tufanye mabadiliko makubwa ya mfumo wetu wa utawala.
Katiba Mpya.
 
Uko sahihi 100%
 
Hadithi ndefuuu!

Tafuta umsikie JK mwenyewe akikiri ba kusema, waliamuakuusitisha mradi wa SGR kwakua wao wangejenga SGR kama Kenya na ingesumbua baadae.

Magu kuja, akalianzisha kwa style yake na ya umeme na kuachana na mkopo wa China Exim.
 
Hadithi ndefuuu!

Tafuta umsikie JK mwenyewe akikiri ba kusema, waliamuakuusitisha mradi wa SGR kwakua wao wangejenga SGR kama Kenya na ingesumbua baadae.

Magu kuja, akalianzisha kwa style yake na ya umeme na kuachana na mkopo wa China Exim.
Hadithi ndeeeefu lakini umesoma... hivi zinakutosha kweli wewe?!
 
Hadithi ndefuuu!

Tafuta umsikie JK mwenyewe akikiri ba kusema, waliamuakuusitisha mradi wa SGR kwakua wao wangejenga SGR kama Kenya na ingesumbua baadae.

Magu kuja, akalianzisha kwa style yake na ya umeme na kuachana na mkopo wa China Exim.
kwa hiyo ni mradi wa magufuli,alitoa bei gani
 
Nadhani tatizo lako ni uelewa mdogo. Unadhani kuwa kufaa kwa crane ni uwezo tu wa kunyanyua mzigo.

Kuna aina zaidi ya 10 ya cranes. Na inayohitajika huko kwenye bwawa, hakuna nchini na hakuna kwenye masoko bali hutengenezwa kwa order.
 
Bro hauko informative, huna facts, uko na hear say narrative instincts, ushabiki kwa baadhi na chuki kwa baadhi. Njoo na comparative table matrix ya hawa Marais na mipango mkakati ya nchi itakusaidia sana.
Uje na quadrant ya Ansof Matrix kuidadavua hio mipango mkakati.
 
Wenye chuki na hila na Magufuli usitarajie wakirithi mipango ya Magufuli istawi kwa kiwango tarajiwa. Magufuli alifanya kwa ajili ya generation ya 2050+ hadi 2100+ inahitaji akili kubwa kujua sacrifice yetu ya uchumi wa mtu mmoja mmoja kukidhi utekelezaji wa malengo ya kimkakati ya kitaifa.
 
Mkuu,hebu nipenyezee hii ya Jasusi Chahali....
 
Hakika hakika
 
Nadhani tatizo lako ni uelewa mdogo. Unadhani kuwa kufaa kwa crane ni uwezo tu wa kunyanyua mzigo.

Kuna aina zaidi ya 10 ya cranes. Na inayohitajika huko kwenye bwawa, hakuna nchini na hakuna kwenye masoko bali hutengenezwa kwa order.
Project engineer hakujua kuwa kutakuwa na crane mapema kama hiyo ili iwe site na iendane na hatua za mradi .mbona kam hiyo crane nikama ya kushtukia hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwa mikopo aliokopa huyu uliemuita mwendawazimu kunaajabu gani kutekeleza hayo?Huyu mwendawazimu ndio muasisi wa miili ya watu kuokotwa kwenye viroba kwangu ndiye kiongozi wa hovyo tungu tumepata uhuru.
Hata kama ni wewe kwa mikopo ya huyu mwendawazimu usingeshindwa kufanya hayo labda uwe poyoyo,kumbuka mwendawazimu ndio anashikila no1 kwakukopa pesa nyingi kuliko yoyote tangu tumepata uhuru.
 
Mkuu umenena, miradi yote mikubwa ipo kwenye radar, kuna watu watachukuliwa kama mwewe achukuwavyo vifaranga, maana wanadhani Tanzania ni ile ya JK, ya kujifanya eti hatuwezi kujaza maji ili SGR isikamilike na kuanza kusingizia vitu vingine. Mh. Rais Mama naona kaanza kuustukia mchezo, though hajachelewa ila anaonekana si mwepesi wa kusoma mchezo kuwa Dkt Magufuli haikuwa bahati mbaya kabisa na wenye nchi walimuandaa na wao ndiyo wanajua nani atakuwa rais 2025 na si kwa manufaa ya mtu binafsi bali ni kwa maslahi ya wananchi na sidhani kama kosa watarudia la kumuweka rais fisadi au mroho wa rasilimali za watanzania. Urais wa nchi hii si wa mtu kujitamkia bali ni kwa jinsi ambavyo unatakeleza ya mambo kwa maslahi ya taifa. Nadhani Mungu amfungue Mama aachane na akija Makamba ambao wanafikiri hii nchi inaweza kuibiwa tena. Mama wamembip wenye nchi kwa TPA naona mtihani kafaulu ngoja zingine zije zenye majina makubwa hapo ndipo atajipambanua Mama yetu kama viatu vya 2025 vitamtosha. Uzuri Mama hana roho ya wizi ni muadilifu ila makundi aliyoanza nayo baada ya kifo ya Dkt Magufuli ndiyo yanamuangusha
 
Project engineer hakujua kuwa kutakuwa na crane mapema kama hiyo ili iwe site na iendane na hatua za mradi .mbona kam hiyo crane nikama ya kushtukia hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
Makamba ni mwizi na fisadi. Kila mradi huwa unakuwa na plan zote. Makamba anataka bwawa lisikamilike ili SGR isiwepo, waende kwenye umeme wa gas watakapo pata 10% ili wapate hela za kushindana na Mama 2025. Yaani Mwigulu yeye kajiandalia kwenye tozo kwa ajili ya kushindana na Mama 2025. Yaani kwa ufupi Makamba na Mwigulu wanashindana kukusanya hela za kuhonga wajumbe 2025. Kila mmoja anajaribu kuona namna ya kupata hela. Mwigulu tozo kafanikiwa, Makamba kwenye nishati kajaribu kuleta mgao ili apige kashindwa ila najua lazima aingie mikataba mingi ya upigaji. Na kibaya Mama sijui anashindwaje kutumia kitengo kupata independent opinion juu ya haya. Mama awapige chini wote watu wa maslahi binafsi kama akina Mwigulu, Makamba, Makala, etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…