Hii misaada ya EU kukuza uchumi hakuna namna ya sisi wananchi kuwaomba directly ama wao wasimamie? Kuipa serikali zinatafunwa bila kufikia wananchi

Hii misaada ya EU kukuza uchumi hakuna namna ya sisi wananchi kuwaomba directly ama wao wasimamie? Kuipa serikali zinatafunwa bila kufikia wananchi

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Ishakuwa kawaida kila mara kusikia umoja wa mataifa ya i;aya wanatoa misaa ya ku;eta unafuu wa hali za uchumi kwa wamamchi, pesa zinatolewa lakini zinaishia juu kwa juu

Maana tangu zamani tunasikia tu misaada ya kuwainua watanzania kiujasiriamali ili wakuze uchumi inatoka kila mwaka.

Ajabu ni kwamba hizo pesa zikishatolewa huji kusikia chochote kuhusu serikali kutoa hio misaada, na labda kama itatokea wametoa basi ni mkopo ambao inabidi urudishe tena kwa riba,

Hakuna namna ya kuweza kuomba huko huko iingie kwenye account ama wao waje huku wasimamie zoezi zima ?

1688493279528.png
 
Ishakuwa kawaida kila mara kusikia umoja wa mataifa ya i;aya wanatoa misaa ya ku;eta unafuu wa hali za uchumi kwa wamamchi, pesa zinatolewa lakini zinaishia juu kwa juu

Maana tangu zamani tunasikia tu misaada ya kuwainua watanzania kiujasiriamali ili wakuze uchumi inatoka kila mwaka.

Ajabu ni kwamba hizo pesa zikishatolewa huji kusikia chochote kuhusu serikali kutoa hio misaada, na labda kama itatokea wametoa basi ni mkopo ambao inabidi urudishe tena kwa riba,

Hakuna namna ya kuweza kuomba huko huko iingie kwenye account ama wao waje huku wasimamie zoezi zima ?

View attachment 2678644
Naunga mkono hoja! Nimesikia eti zitasimamiwa kikamilifu!! Nakuhakikishia subiria next report ya CAG.
 
Naunga mkono hoja! Nimesikia eti zitasimamiwa kikamilifu!! Nakuhakikishia subiria next report ya CAG.
Yani just imagine bilioni 400 hii misaada wakiwapa hata milioni kumi kumi vijana elf 15 hio ni bilioni 150, wao wachache wakibakiwa na bilioni 250 kwajili ya njaa zao kuna ubaya gani ?

Ni kweli tunanyongwa ila walau haki itendeke basi hata kidogo
 
Chini ya SAA100 ndo zisimamiwe kikamilifu hapana hamna kitu hapo
Kaunga hoja kwamba misaada iwe inatoka direct ikibidi bijana wawe wanatuma maombi kwenye mitandao ya huo umoja wa ulaya, mzigo unaingia kwenye account kwa wataokidhi vigezo.

Kuipa serikali hii pesa eti iende kuwapa vijana ni ndoto
 
Yani just imagine bilioni 400 hii misaada wakiwapa hata milioni kumi kumi vijana elf 15 hio ni bilioni 150, wao wachache wakibakiwa na bilioni 250 kwajili ya njaa zao kuna ubaya gani ?

Ni kweli tunanyongwa ila walau haki itendeke basi hata kidogo
Umesema vyema lkn hawajawah kua na nia hiyo!!
 
Awamu iliyopita Kwenye sector ya kilimo EU waliwaona NGOs lakini Serikali ililalamika Kwa SBB walitarakia posho za kufa mtu.Sasa wamepata pesa kuzisimamia hatutaona kitu cha maana zaidi ya posho na vikao visivyoisha
 
Back
Top Bottom