Hii "Modern obsession" ya makalio makubwa imetokea wapi?

Hii "Modern obsession" ya makalio makubwa imetokea wapi?

Ni kama kipindi cha nyuma ilikua Mwanaume mwenye kitambi ndio anaonekana tajiri,ana pesa na mademu walimbabaikia! So,wengi walitamani kua na vitambi!!

Baada ya muda hilo ni kama limepita,sasa hivi wamejua kua Six pack ndio bora zaidi,

So,hata hili la kupenda makalio makubwa nalo litapita tu,

Labda niulize swali,
Hii issue ya kupenda makalio makubwa ni world wide au ni Africa tu?
Wazungu walikuwaga obsessed na matiti makubwa

Ila siku hizi nao wameangukia kupenda big butts
 
Screenshot_20220205-221815_WhatsApp.jpg

Twende turudi, traqo ni necessity na ni muhim. Hata wazee waliyapenda sana tu sema matunzo yalikua hafifu
 
kwa zama zetu hizi, na tujiulize matako makubwa yana kazi gani hasa?
-yana saidia kulipa bills?
-Yana dumisha ndoa/mahusiano?
-nk
Mbona watu wa kabila zingine za mashariki ya mbali na magharibi hawana hizi mambo?.
Ujio wa ukubwa wa makalio ni kutokana kuhamasishwa wa social media. naam, hata ushoga ni sehemu ya maendeleo ya social media pia.
Cha ajabu sana, maendeleo ya sayansi na teknolojia yanawasaidia watu wa kabila hizi zingine, sisi huku yanatuangamiza??

kuna mtu aliwahi kusema.
"
Kama Mungu alitaka tufanane na Weusi angetufanya sote tuwe na rangi moja na fikra sawa. Lakini alituumba tofauti; Weupe, Weusi, Wanjano, watawala na watawaliwa. Katika upeo sisi ni bora kuliko Weusi na hilo halina ubishi kwani limejihidhirisha kwa miaka mingi iliyopita.

Hawana lolote jema isipokuwa mashujaa wa kupiga kelele, kucheza ngoma, kuoa wanawake wengi na kupenda sana ngono. Hebu sasa tukubali kuwa mtu Mweusi ni alama ya umasikini, udumavu wa akili, uvivu na aliyekosa ushindani.'
 
Ulishawahi kujiuliza maybe in 60s, 70s, 80s au 90s kwamba kipindi hicho kama wanaume walikuwa wakipagawa na makalio makubwa ya wanawake kama ilivyo sasa?

Je wanawake pia waliweza kuji-glorify kwa kuwa wana makalio makubwa?

Au wanawake wameji-glorify baada ya wanaume kuanza ku-glorify haya makalio makubwa?

Je, ukubwa wa makalio umekuwa ni sehemu moja wapo ya kumvutia mwanaume tangu enzi?

Mtu anaweza kuraise a point kuwa kipindi kile hawakuepo, namaanisha breed ya wanawake wenye makalio makubwa haikuwepo kipindi kama ilivyo sasa.

Kuna rafiki yangu mmoja alinipatia point moja:

"unajua kipindi kile wanawake walikuwa hawavai nguo za kubana kwa hio makalio yao yalikuwa hayajioneshi wazi wazi"

Kwa wale wafuatiliaji wa vitabu vya Kidini, je kuna sehemu walionesha kuwa makalio ya mwanamke yalicheza part kubwa katika urembo wake. Ila mara nyingi wanaandika mwana mama mwenye uzuri wa sura alimvutia falme au mwanafalme.

Au kwa wale wafuatiliaji wa historia za kiAfrika. Je kuna andiko lilionesha makalio yalicheza part kubwa katika matanio ya wanaume juu ya wanawake kwa kipindi cha zamaniz

So what really happened to us men, ambapo sasa tukaanza kupagawa na haya makalio makubwa ya wadada.

[emoji830]︎Je ni influence ya porn.
[emoji830]︎Je ni evolution juu ya wanadamu iliyoleta mabadiliko katika mavutio na matamanio mapya
[emoji830]︎Je ni style mpya ya nguo za kubana zilizopromote obsession hii.
[emoji830]︎Je ni shetani na influence za kiroho juu ya wanadamu.

Karibuni kwa michango mbali mbali.
View attachment 2362756View attachment 2362757
Kwani ni kipi kiliwafanya hao mababu zetu wapende sura? Au tabia? Utagundua kila mtu au kila zama na kitu wakipendacho binafsi Napenda sana t*ko lenye hips au limegawanyika vizuri yaani nimewaza tu hivi najikuta nimeenda mbao
 
Na hili nalo litapita. Binafsi naamini inatokea katika hali ya kufuata mkumbo tu na kwa uzoefu wangu wanaowaza ujinga huwa wana nguvu sana ya ushawishi na kufanya jambo fulani kuonekana la maana sana au lina tija sana kwenye jamii. Hata mimi hapo kabla sikuwa na interest na wanawake wa aina hiyo ila kutokana na ushawishi mkubwa kwenye jamii unajikuta unaamua acha na mimi nikashuhudie hicho tunachoaminishwa kina mvuto zaidi. Nilichogundua hakuna jipya na kuamua kubaki njia kuu. Ni kama hapo zamani kila kijana alikuwa ana ndoto ya kuzamia akaibukie ughaibuni kusaka maisha lakini ulikuwa ni upepo tu na hayo mambo tayari yamekwishwa kupoteza umaarufu wake.
Ni kama Misimu tu katika lugha ya Kiswahili ambayo huja na kupotea.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Ni kama kipindi cha nyuma ilikua Mwanaume mwenye kitambi ndio anaonekana tajiri,ana pesa na mademu walimbabaikia! So,wengi walitamani kua na vitambi!!

Baada ya muda hilo ni kama limepita,sasa hivi wamejua kua Six pack ndio bora zaidi,

So,hata hili la kupenda makalio makubwa nalo litapita tu,

Labda niulize swali,
Hii issue ya kupenda makalio makubwa ni world wide au ni Africa tu?
World wide mzee hadi wazungu now wapo obsessed na mizigo
 
Na hili nalo litapita. Binafsi naamini inatokea katika hali ya kufuata mkumbo tu na kwa uzoefu wangu wanaowaza ujinga huwa wana nguvu sana ya ushawishi na kufanya jambo fulani kuonekana la maana sana au lina tija sana kwenye jamii. Hata mimi hapo kabla sikuwa na interest na wanawake wa aina hiyo ila kutokana na ushawishi mkubwa kwenye jamii unajikuta unaamua acha na mimi nikashuhudie hicho tunachoaminishwa kina mvuto zaidi. Nilichogundua hakuna jipya na kuamua kubaki njia kuu. Ni kama hapo zamani kila kijana alikuwa ana ndoto ya kuzamia akaibukie ughaibuni kusaka maisha lakini ulikuwa ni upepo tu na hayo mambo tayari yamekwishwa kupoteza umaarufu wake.
Ni kama Misimu tu katika lugha ya Kiswahili ambayo huja na kupotea.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Booty zitabaki kwa miaka 3000 mbele acha utani na mzigo ww
 
kwa zama zetu hizi, na tujiulize matako makubwa yana kazi gani hasa?
-yana saidia kulipa bills?
-Yana dumisha ndoa/mahusiano?
-nk
Mbona watu wa kabila zingine za mashariki ya mbali na magharibi hawana hizi mambo?.
Ujio wa ukubwa wa makalio ni kutokana kuhamasishwa wa social media. naam, hata ushoga ni sehemu ya maendeleo ya social media pia.
Cha ajabu sana, maendeleo ya sayansi na teknolojia yanawasaidia watu wa kabila hizi zingine, sisi huku yanatuangamiza??

kuna mtu aliwahi kusema.
"
Kama Mungu alitaka tufanane na Weusi angetufanya sote tuwe na rangi moja na fikra sawa. Lakini alituumba tofauti; Weupe, Weusi, Wanjano, watawala na watawaliwa. Katika upeo sisi ni bora kuliko Weusi na hilo halina ubishi kwani limejihidhirisha kwa miaka mingi iliyopita.

Hawana lolote jema isipokuwa mashujaa wa kupiga kelele, kucheza ngoma, kuoa wanawake wengi na kupenda sana ngono. Hebu sasa tukubali kuwa mtu Mweusi ni alama ya umasikini, udumavu wa akili, uvivu na aliyekosa ushindani.'
Duuuh very deep. Inafikirisha kwa kweli.

Ahsante mkubwa.
 
Huo ndo haupingwi

Na ndio maana dada zetu wanajitahidi sana kila wakiweka picha zao kwenye mitandao basi lazima wapige picha tako lionekane kama haitoshi wengi wanalibinua kabisa ili lionekane. Hapo ndo furaha yao
Kweli bro,

So kwa upande wako, ulijikuta tu automatically unapendelea big butts au kwa namna gani ilikufanya uone tako nene ndio your thing?
 
Back
Top Bottom