Ulishawahi kujiuliza maybe in 60s, 70s, 80s au 90s kwamba kipindi hicho kama wanaume walikuwa wakipagawa na makalio makubwa ya wanawake kama ilivyo sasa?
Je wanawake pia waliweza kuji-glorify kwa kuwa wana makalio makubwa?
Au wanawake wameji-glorify baada ya wanaume kuanza ku-glorify haya makalio makubwa?
Je, ukubwa wa makalio umekuwa ni sehemu moja wapo ya kumvutia mwanaume tangu enzi?
Mtu anaweza kuraise a point kuwa kipindi kile hawakuepo, namaanisha breed ya wanawake wenye makalio makubwa haikuwepo kipindi kama ilivyo sasa.
Kuna rafiki yangu mmoja alinipatia point moja:
"unajua kipindi kile wanawake walikuwa hawavai nguo za kubana kwa hio makalio yao yalikuwa hayajioneshi wazi wazi"
Kwa wale wafuatiliaji wa vitabu vya Kidini, je kuna sehemu walionesha kuwa makalio ya mwanamke yalicheza part kubwa katika urembo wake. Ila mara nyingi wanaandika mwana mama mwenye uzuri wa sura alimvutia falme au mwanafalme.
Au kwa wale wafuatiliaji wa historia za kiAfrika. Je kuna andiko lilionesha makalio yalicheza part kubwa katika matanio ya wanaume juu ya wanawake kwa kipindi cha zamaniz
So what really happened to us men, ambapo sasa tukaanza kupagawa na haya makalio makubwa ya wadada.
[emoji830]︎Je ni influence ya porn.
[emoji830]︎Je ni evolution juu ya wanadamu iliyoleta mabadiliko katika mavutio na matamanio mapya
[emoji830]︎Je ni style mpya ya nguo za kubana zilizopromote obsession hii.
[emoji830]︎Je ni shetani na influence za kiroho juu ya wanadamu.
Karibuni kwa michango mbali mbali.
View attachment 2362756View attachment 2362757