Hii "Modern obsession" ya makalio makubwa imetokea wapi?

Hii "Modern obsession" ya makalio makubwa imetokea wapi?

Ulishawahi kujiuliza maybe in 60s, 70s, 80s au 90s kwamba kipindi hicho kama wanaume walikuwa wakipagawa na makalio makubwa ya wanawake kama ilivyo sasa?

Je wanawake pia waliweza kuji-glorify kwa kuwa wana makalio makubwa?

Au wanawake wameji-glorify baada ya wanaume kuanza ku-glorify haya makalio makubwa?

Je, ukubwa wa makalio umekuwa ni sehemu moja wapo ya kumvutia mwanaume tangu enzi?

Mtu anaweza kuraise a point kuwa kipindi kile hawakuepo, namaanisha breed ya wanawake wenye makalio makubwa haikuwepo kipindi kama ilivyo sasa.

Kuna rafiki yangu mmoja alinipatia point moja:

"unajua kipindi kile wanawake walikuwa hawavai nguo za kubana kwa hio makalio yao yalikuwa hayajioneshi wazi wazi"

Kwa wale wafuatiliaji wa vitabu vya Kidini, je kuna sehemu walionesha kuwa makalio ya mwanamke yalicheza part kubwa katika urembo wake. Ila mara nyingi wanaandika mwana mama mwenye uzuri wa sura alimvutia falme au mwanafalme.

Au kwa wale wafuatiliaji wa historia za kiAfrika. Je kuna andiko lilionesha makalio yalicheza part kubwa katika matanio ya wanaume juu ya wanawake kwa kipindi cha zamaniz

So what really happened to us men, ambapo sasa tukaanza kupagawa na haya makalio makubwa ya wadada.

[emoji830]︎Je ni influence ya porn.
[emoji830]︎Je ni evolution juu ya wanadamu iliyoleta mabadiliko katika mavutio na matamanio mapya
[emoji830]︎Je ni style mpya ya nguo za kubana zilizopromote obsession hii.
[emoji830]︎Je ni shetani na influence za kiroho juu ya wanadamu.

Karibuni kwa michango mbali mbali.
View attachment 2362756View attachment 2362757
Kwa afrika wowowo ni obsession ya muda sana.....hivyo vitabu vya dini havikuandikwa kwenye mazingira ya afrika sasa hao wafalme watafikiriaje wezere wakati huko sio kwao, mawezere ni kwa mtu mweusi, wana wa israeli walipigwa pasi jangwani
 
[emoji23][emoji23]Nimecheka kifala sana eti matako hayatakaa yashuke kwenye chati [emoji23]
Kwani nasema uwongo ndugu yangu? Kimwanamke hata kikiwa kimbaumbau kama kina kijishundu kina raha yake kuliko ile flat screen kabisa [emoji16][emoji16][emoji16]
JamiiForums-1624679434.jpg
 
Ni kama kipindi cha nyuma ilikua Mwanaume mwenye kitambi ndio anaonekana tajiri,ana pesa na mademu walimbabaikia! So,wengi walitamani kua na vitambi!!

Baada ya muda hilo ni kama limepita,sasa hivi wamejua kua Six pack ndio bora zaidi,

So,hata hili la kupenda makalio makubwa nalo litapita tu,

Labda niulize swali,
Hii issue ya kupenda makalio makubwa ni world wide au ni Africa tu?
Kwa sasa ni worldwide pengine isipokuwa huko Asia (Wajapan, Wakorea na Wachina). Maslei kwini wengi wa kimataifa wanapoteza mpaka maisha kwenye operesheni za kuongezewa makalio ili wapendwe na kupandisha dau.

Kwa sasa makalio ndiyo yanaendesha dunia bro!
tumblr_734fb5078cbfc27e531c5c1cbc3a3306_452036a8_1280.jpg
 
Baada ya kulizagamua big butts siku moja nikaanza kuyaelewa.

Na ukitaka ulielewe tako hakikisha mnapiga chuma mboga style halafu upate mwenye tako laini anayejua kulitikisa au kumwaga uno.

Wewe kazi yako ni kukamatia kiuno huku ukimpelekea moto vile jinsi anazungusha kiuno na kuyatikisa matako huku wewe unampelekea ukuni ndivyo raha inazidi, halafu uwe unalipiga piga kofi tako
Legendary 😂😂
 
Back
Top Bottom