🤣🤣🤣 Haya bwana utingo, si tunashukuru tu kwa kuwa Kodi yako inabaki hapa tz, haiendi kwenu Ghana. Hayo mengine hayatutii hasara yoyote.Hahah kumbuka unajadiliana na konda/utingo mzee baba,hana exposure wala nini.
Lkn ataazima simu kwa dereva wake na atawapigia kura wa-ghana maana Nyerere mwenyewe alisema Africa ni moja na waafrika ni wamoja.
Asante sana bwn Suka,msalimie polepole hapo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Haya bwana utingo, si tunashukuru tu kwa kuwa Kodi yako inabaki hapa tz, haiendi kwenu Ghana. Hayo mengine hayatutii hasara yoyote.
Upo sahihi kabisa, hata sisi tupo huru kabisa kuvote for any artist we want, be Nigerians or Kenyans, its our choiceKule kwao Beyonce, Jay-Z, Taylor Swift na mastaa kibao wa kule Holywood wanaunga mkono Democratic Party kwa waziwazi. Kila kipindi cha uchaguzi wamekuwa wanatumia nafasi walizonazo kuwashawishi watu wapigie kura chama hicho. Tena wapo wanaopanda mpaka jukwaani kuwanadi wagombea.
Kila mtu ana uhuru wa kufanya anachotaka kama sheria inaruhusu, acheni kulialia.
mimi nina mpwa wangu ni msanii lakini nasema... wacha hawa wasanii wa Bongo wanyooshwe tu kwenye hili ili waache kujiuza kama vyangudoa.Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Siasa za Afrika ni za kipumbavu, unakuta anaedai Demokrasi hajui demokrasi.Nimeona mashabiki wachache wa Chadema wameanzisha Uzi kwaajili ya kutopiga kura kwa Wasanii wanaoshabikia CCM unajua Kuna vitu vinachekesha Sana na ukute hao watu Ni watu wazima na wengine wanawatoto yaani unawapangia wasanii Cha kumshabikia mbona wao hawajakupangia chama Cha kumshabikia Nani kawambia kushabikia Chadema ndio unapata uzima wa milele au unapata maisha Bora mpaka uwaone wanaokuwa against yenu ni washamba Kama ukweli unaipenda Sana Chadema kwanini usiwakatae Wazazi wako ambao Ni CCM? au uwaue kabisa au uwatukane kabisa alafu uturushie hapa jamvini clip ili tuone kweli wewe una uchungu na CHADEMA? Tofauti na hapo wewe Ni mnafiki na una wivu au chuki binafsi na Wasanii na Wala sio suala la Itikadi alafu baadae hao hao wasanii wakifa njaa mnaanza kuwaponda na kuanza kuwadhiaki.
Kama unataka wasanii wapige kampeni chama chenu Cha Chadema wambieni viongozi wenu watoe mpunga mrefu alafu muone Kama hao wasanii watakataa kuliko huu upuuzi mnaofanya sasa hiv mnaonekana Ni wapumbavu Sana.
Siwezi kuhangaika na account na page mlizoanzisha ili kupotosha watu kwa kutweet na kujijibu wenyewe.Asante sana bwn Suka,msalimie polepole hapo.View attachment 1598753
ITATEGEMEA NIMEAMKAJE.Siwezi kuhangaika na account na page mlizoanzisha ili kupotosha watu kwa kutweet na kujijibu wenyewe.
Lakini hata hivyo, hilo jibu alilotoa huyo jamaa (mnaedai kuwa ni comrade polepole),lilikuwa sawa kabisa kulingana hoja ya huyo mwenye mawazo kama yako.
Sawa tuendelee na miasha 🙏.ITATEGEMEA NIMEAMKAJE.
Upo sahihi kabisa, hata sisi tupo huru kabisa kuvote for any artist we want, be Nigerians or Kenyans, its our choice
Tumetetereka na sisi tunamteteresha!Hopeless kabisa alafu kesho wanadai Magufuli dikteta,wakati wao wana walazimisha watu wasimpigia kura Zuchu aliye amua kuichagua CCM kama chama chake,ukiuliza "Wasanii wanaijeria wameandamana.....",huku tuandamane kwa upinzani gani,upinzani ambao hauna msimamo.Upinzani ulisha 2015 Mbowe na genge lake walipo chukua hela za Rostam na Lowasa.
Baadae utasikia nchi haina demokrasia,wakati wao wenyewe hawajui nini maana ya demokrasia.
Its not a big deal bro, sema tu wewe umeichukulia kama big deal, relaxNi sawa kabisa, lakini kwanini mnafanya iwe big deal?
Its not a big deal bro, sema tu wewe umeichukulia kama big deal, relax
Hapa ni JF mkuu, everybody speaks hi/her mind openly hata kama ni mwaka mzima, mods wakiona thread ina tatizo wataifunga,3 long days mnadiscuss halafu unasema mimi ndio nachukulia kama big deal? Okay.
Hate ya WCB.....Wewe jamaa una akili sana. Ila hilo kopo tupu lililoanzisha uzi halikuona hilo. Kwasababu yeye anaichukia chadema, ameona kuwa chadema ndio waanzilishi wa uzi. Ccm ni janga.Alafu utaskia chadema hawategmei wasanii[emoji3]...mim siipend ccm ila kwa hili sio chedema tu..hapa kuna hate ya WCB inatembea..team fulan imetumia chadem kama kichaka tu
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hapa ni JF mkuu, everybody speaks hi/her mind openly hata kama ni mwaka mzima, mods wakiona thread ina tatizo wataifunga,
Simple, quit the discussion kama unaona umepotea njia
Siasa za kujifunza ukubwani..Weka link tuwapigie nigerians kura, wa bongo watabebwa na tume