Hii movie inayoitwa NO WHERE kiukweli imeniliza mtu mzima!

Hii movie inayoitwa NO WHERE kiukweli imeniliza mtu mzima!

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
1718384391836.png

Huu mwaka tangu uanze kiukweli sijawahi na sikudhani kama nitadondosha chozi!,Ila baada ya kuitazama hii movie iitwayo NO WHERE nimejikuta machozi yakinitiririka kama mtu aliyepatwa msiba!

Natumbua kabisa hizi movie mara nyingi ni fiction zinazokosa uhalisia,lakini hii movie imefanya nikawaza mambo mengi sana!

Kiukweli ni movie yenye stori nzuri ila imeniachia majonzi baada ya kuona mwanamama anavyohangaika na mwanaye katika hali isiyokuwa na msaada tena katikati ya Bahari!

Aiseeee!😭😭


NO WHERE
 

Huu mwaka tangu uanze kiukweli sijawahi na sikudhani kama nitadondosha chozi!,Ila baada ya kuitazama hii movie iitwayo NO WHERE nimejikuta machozi yakinitiririka kama mtu aliyepatwa msiba!

Natumbua kabisa hizi movie mara nyingi ni fiction zinazokosa uhalisia,lakini hii movie imefanya nikawaza mambo mengi sana!

Kiukweli ni movie yenye stori nzuri ila imeniachia majonzi baada ya kuona mwanamama anavyohangaika na mwanaye katika hali isiyokuwa na msaada tena katikati ya Bahari!

Aiseeee!😭😭


NO WHERE
Hata sikupingi
 
walizidisha uongo kuna mambo huwa hayawezekani wapuuzi tu!

Jambo gani lisilowezekana mkuu?

Hebu fafanunua ni jambo gani kwenye ile muvi ambalo unadhani kabisa kiuhalisia lisingewezekana!
 
Ili story iwe tamu zaidi ilitakiwa huyo mama afe abaki mtoto tuu.

Binafsi namuelewa mtoa mada mana hii n moja ya movie ambayo imenipa hisia za kuumia kweli.

Anyway, naipa 10/10
 
Back
Top Bottom