Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea unapenda tu kujiliza bila sababu, ni kawaida sana ya wanaume wa Dar kuwa hivi. Kwa tarifa yako, huyo mwanamama yu hai na yuko kwake muda huu akijivinjari na mumewe pia wala hana taarifa na wewe kujiliza bila sababu juu yake. You need to mature faster.
Huu mwaka tangu uanze kiukweli sijawahi na sikudhani kama nitadondosha chozi!,Ila baada ya kuitazama hii movie iitwayo NO WHERE nimejikuta machozi yakinitiririka kama mtu aliyepatwa msiba!
Natumbua kabisa hizi movie mara nyingi ni fiction zinazokosa uhalisia,lakini hii movie imefanya nikawaza mambo mengi sana!
Kiukweli ni movie yenye stori nzuri ila imeniachia majonzi baada ya kuona mwanamama anavyohangaika na mwanaye katika hali isiyokuwa na msaada tena katikati ya Bahari!
Aiseeee!😭😭
NO WHERE
Mbona zipo nyingi tu, nenda pale pale Tsavo utazikuta ila fika usiku ukitembea tu pale mbugani utaziona zimepangwa, utajichukulia uitakayoNatafuta muvi ya lions of tsavo naipataje