Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Akapata sababu 😂Mkuu ulikua na maumivu yako somewhere ukaona ulilie kweny movie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akapata sababu 😂Mkuu ulikua na maumivu yako somewhere ukaona ulilie kweny movie
Ha ha ha haaa.. hiyo ni porno sasa..Ndio, angalia kuanzia dkk ya 51 - 86 n mwendo wa minyandua tuu dkk zote hizo
C ndo kitu unataka auHa ha ha haaa.. hiyo ni porno sasa..
Sawa Mkuu!C ndo kitu unataka au
Kumbe uliona kama Mimi,walizidisha uongo kuna mambo huwa hayawezekani wapuuzi tu!
Umefanya matumizi holela ya machozi na kuwa "macho-zii"!🙄
Huu mwaka tangu uanze kiukweli sijawahi na sikudhani kama nitadondosha chozi!,Ila baada ya kuitazama hii movie iitwayo NO WHERE nimejikuta machozi yakinitiririka kama mtu aliyepatwa msiba!
Natumbua kabisa hizi movie mara nyingi ni fiction zinazokosa uhalisia,lakini hii movie imefanya nikawaza mambo mengi sana!
Kiukweli ni movie yenye stori nzuri ila imeniachia majonzi baada ya kuona mwanamama anavyohangaika na mwanaye katika hali isiyokuwa na msaada tena katikati ya Bahari!
Aiseeee!ðŸ˜ðŸ˜
NO WHERE
YatajeKumbe uliona kama Mimi,
Powaa ngoja niangalie ntarud ku shareAchana nae huyo, nmemjibu jinsi alivyotaka kujibiwa.
Chukua mzigo huo ufurahie kazi nzuri ambayo kwangu Mm hakuna hata sekunde moja ya kujutia kuitizama.
unaweza nipa sababu kwanini lile kontena halikuzama muda woteJambo gani lisilowezekana mkuu?
Hebu fafanunua ni jambo gani kwenye ile muvi ambalo unadhani kabisa kiuhalisia lisingewezekana!
Scenario kama hizo zitampata mtu kama akikamatika kwenye mazingira magumu, kwan mara ngap unasikia mwanamke amejifungua kwenye gari alipelekwa hosp.Mbaga Jr
Mkuu nimeangalia ipo vizuri ndio nimemaliza now...
Sterling wetu Kujifungua mwenyewe tena ndani ya maji hiyo scenario sijui Kama wanawake wa Sasa wanaweza ?
All in all,
matatizo ndio kipimo Cha akili 😊
unaweza nipa sababu kwanini lile kontena halikuzama muda wote
Kwenye hy movie, kontena lilikuwa na plastic tuu yn hakuna mzigo wenye uzito mkubwa kuzamisha kontena, pia mama yule alikuwa anatoa maji yaliyokuwa yanaingia ndani kupitia mashimo ya risasi zilizotoboa kontena.unaweza nipa sababu kwanini lile kontena halikuzama muda wote
Yes naipa 10/10Scenario kama hizo zitampata mtu kama akikamatika kwenye mazingira magumu, kwan mara ngap unasikia mwanamke amejifungua kwenye gari alipelekwa hosp.
Binafsi sijaona kasoro yoyote kwenye hy movie
Wanawake mpo emotional sana.
Huu mwaka tangu uanze kiukweli sijawahi na sikudhani kama nitadondosha chozi!,Ila baada ya kuitazama hii movie iitwayo NO WHERE nimejikuta machozi yakinitiririka kama mtu aliyepatwa msiba!
Natumbua kabisa hizi movie mara nyingi ni fiction zinazokosa uhalisia,lakini hii movie imefanya nikawaza mambo mengi sana!
Kiukweli ni movie yenye stori nzuri ila imeniachia majonzi baada ya kuona mwanamama anavyohangaika na mwanaye katika hali isiyokuwa na msaada tena katikati ya Bahari!
Aiseeee!ðŸ˜ðŸ˜
NO WHERE
Wanawake mpo emotional sana.