Hii movie inayoitwa NO WHERE kiukweli imeniliza mtu mzima!

Una machozi ya kuchezea .
 
Jamaa asingekufa bhana baadae akutane na familia yake....pale alipojichana mguu mama mtt iliniumiza.....haikuisha vizuri maana hatukujua hatma vile waliokolewa then what next?
 
Inaelekea unapenda tu kujiliza bila sababu, ni kawaida sana ya wanaume wa Dar kuwa hivi. Kwa tarifa yako, huyo mwanamama yu hai na yuko kwake muda huu akijivinjari na mumewe pia wala hana taarifa na wewe kujiliza bila sababu juu yake. You need to mature faster.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…