Pre GE2025 Hii nchi ina shida nyingi sana, ajabu CHADEMA wanaaandama kisa sheria ya uchaguzi. Kwahiyo matatizo mengine hamyaoni?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wewe una matatizo. Unailaumu CHADEMA kwa matatizo yalitoletwa na CCM? Yani CCM unayoiabudu imeleta matatizo, ila lawama unapeleka kwa CHADEMA. Punguza unafiki.
 

Punguza unafiki. Yani aliyeleta matatizo yote hayo ambaye ni CCM unamlamba miguu na ku.sujudia, ila CHADEMA wanaotaka kuandama ili kuweka mfumo mzuri wa uchaguzi unawaona wabaya . Punguza unafiki
 
Mtoa mada hajapinga maandamano point yake ya msingi kwanini linapokuja suala linalogusa maslahi ya moja kwa moja kama umeme huwakuti wakiandamana au kutumia nguvu kubwa kama wanavyofanya kwenye suala la uchaguzi?
Hana hoja na wewe unayekazia huna hoja vilevile. Ninyi ni akina nani kuwapangia vipaumbele Chadema. Wao hawajayaona hayo, wewe umeyaona, basi chukua hatua. Unadhani kuna aliyezaliwa kwa ajili yako, wewe ukae tu yeye akufanyie kila kitu? Sahau.
 

Punguza upumbavu, Usipende kuhusisha CCM na CHADEMA. Mmejaza CCM bungeni na kwenye halmashauri na mitaani na vijijini, halafu unakuja kubinua mdomo kuhusu CHADEMA. Yani CCM yenye Rais na Mawaziri wanaotunga sera unailinganisha na CCM . Punguza ujinga.

Hujui kazi za bunge lililojaa CCM? Hujui kazi za Halmashauri zilizojaa CCM? Hujui kazi za wwnyeviti wa mitaa waliojaa CCM ?. Wote hao umewaruka unawalalamikia CHADEMA ambao hawana mamlaka yeyote. Very stupid.
 
Mtoa mada hajapinga maandamano point yake ya msingi kwanini linapokuja suala linalogusa maslahi ya moja kwa moja kama umeme huwakuti wakiandamana au kutumia nguvu kubwa kama wanavyofanya kwenye suala la uchaguzi?

Kwa hivyo ameona CHADEMA ndio wenye serikali?. CCM Ina madwani, wabunge, wakuu wa mikoa, mawaziri, Rais. Hajawaona hao? Yani CHADEMA outsider ndio kaonekana mbaya ila mwasisi wa matatizo mnaficha na kumuogopa. Acheni unafiki.
 
Mleta mada punguza unafiki kabisa. Mmejaza CCM bungeni, kwanini msiwalaumu hao wabunge wa CCM kwa matatizo yanayotokea? Bunge la kazi gani. Yani ulivyomnafiki, unajaza Wana CCM bungeni na kwenye halmashauri zote. Hawa ndio wa kuwabana wawaletee umeme na maji.

Ni unafiki wa Hali ya juu kuwachekea Mawaziri, makatibu wakuu, wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa ambao ni zao la CCM na kushindwa kuwabana kuhusu matatizo yenu na kuja kusubiria maandamano ya CHADEMA na kuanza kuongea unafiki. Very stupid.
 
Andiko lako unelileta kishabiki chafema wametoa sababu za kuandamana kwao moja ni maswala ya Sheria ya uchaguzi pamoja na mfuko wa bei nakadhalika
 
Wanaandamana ili kushinikiza hoja yao ya kuongeza idadi ya wabunge iwepo kwenye sheria. Ni maandamano yenye nia ovu ya kushinikiza mambo yatakayotuongezea umaskini zaidi. Baada ya kuzidiwa nguvu na kina Mdee sasa naona wanataka kulazimisha kuingiza vimada bungeni kupitia sanduku la kura. Maandamano ya Januari 24 ni maandamano haramu.
 
Mkuu unafikiri kwa kutumia kiungo gani?
Watanzania sio majuha km mnavyodhani. Watanzania kwa sasa wamekwisha jua kuwa hawana mtetezi. Wanasiasa waliopo wote kwa sasa ni wanafki na wabinafsi.
Mbowe tangu alipoingia kwenye maridhiano na Samia kaufyata.
Nchi imekamatwa na mafisadi maisha ya wapiga kura yapo rehani hali ni mbaya kila sekta Chadema kimya.
Huwezi ku win raia kama kwenye shida zao haupo pamoja nao.
Kuna njia nyingi kwa vyama vya siasa kuweza kuiwajibisha serikali nje ya bunge au nje ya madaraka.
Nahitimisha kwa kusema hawa ni wanafki.
Watanzania tupo km watoto yatima kwa sasa hatuna mtetezi.
 
Hakuna popote cdm wanapokuzuia wewe kuyaongelea hayo matatizo.
 
Mim toka nimejua wao huwa hawaumii sijui wanalibdwa na sheria za kimataifa sitaki kusikia ujinga.
Mtaenda barabaran ffu wanakupiga wewe wanaawaacha wao. Unakula virungu unavunjika miguu unaishia kupewa pole
Bora nikae nyumban nile ugali wangu na watoto.waende wenyewe wakaandamane
 
Sawa, una dukuduku jingine kwa ufafanuzi zaidi?
 
Mkuu hayo maandamano hayatakiwi kufanywa na nyie watu mliozaliwa kuishi Ili mle ugali.
 
Hakuna popote cdm wanapokuzuia wewe kuyaongelea hayo matatizo.
Okay wasitusumbue na maandamano yao ya kudai vyeo vyakisiasa.
Na Hatuwahitaji kwenye harakati zetu za kupambana na mafisadi.
waandamane na wake zao pamoja na watoto wao maana wakipata hivyo vyeo hao ndio watakao kula nao.
 
Okay wasitusumbue na maandamano yao ya kudai vyeo vyakisiasa.
Na Hatuwahitaji kwenye harakati zetu za kupambana na mafisadi.
waandamane na wake zao pamoja na watoto wao maana wakipata hivyo vyeo hao ndio watakao kula nao.
Hakuna unayetaka ww ushiriki hayo maandamano Yao, Bali ni shobo zako tu.
 
Hakuna unayetaka ww ushiriki hayo maandamano Yao, Bali ni shobo zako tu.
Hakuna fala wakuandamana kisa nyie muingie madarakani.
Mtakula mlipopeleka mboga!
Chadema hii ni mfu.
Chadema ile iliyojengwa na Dr Slaa ndio kilikuwa chama cha watu.
Kila kulipotokea dhuruma na ufisadi chadema walikuwa na wananchi.
Sio hawa kenge maji hawa!
 
Mkuu hayo maandamano hayatakiwi kufanywa na nyie watu mliozaliwa kuishi Ili mle ugali.
Sawa. Acha mim nile ugali wang wan watoto nyie nenden mkaikomboe nchi. Ukwel ukienda barabarn family yako ndio itayopata shida.wao huwa hawapigwi
 
Sawa. Acha mim nile ugali wang wan watoto nyie nenden mkaikomboe nchi. Ukwel ukienda barabarn family yako ndio itayopata shida.wao huwa hawapigwi
Kwani Hadi sasa familia zetu zinapata Raha?
 
Kwanini wewe umezuia kuandamana mpk uwalazimishe CHADEMA waandamane kwa kitu unachopenda wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…