Hii nchi inahitaji kuongozwa kidikteta, Namkumbuka Hayati Magufuli sana!

Hii nchi inahitaji kuongozwa kidikteta, Namkumbuka Hayati Magufuli sana!

muafi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2015
Posts
2,557
Reaction score
6,128
Kuna wakati unafika tunammis JPM

kuoitia hili sakata la TUCTA na serikali hqpa nimemkumbuka sana JPM, sometime udikteta unasaidia Miaka sita watu hawajaongezwa mishahara lakini hawakuongea kitu walikaa kimya kabisa kama hakuna lililotokea.

Samia kawainua wa kima cha chini kwa 70K na wengine kawaongeza ongeza lakini wanamuona hafai TUCTA wanajifanya kuipa serikali muda kwani kipindi kile walikua wapi?

JPM alikua na maamuzi magumu alikua na uwezo wa kufukuza hata wafanyakazi laki moja na msimfanye kitu, Sasa natahadharisha Rais Samia ukiendelea kuwalea hawa watu ipo siku wataanza migomo

Mambo mengine yaendeshe kwa mkono wa chuma, asiyetaka kazi aache fukuza kabisa hata kama ni watu laki moja waambie kabisa ataezingua nafukuza
 
Kwanza huyo kwenye mshahara WA watumishi alijiziba masikio alikunya kodi zetu na kununulia wapinzani kweli mungu ndo muweza wa yote aliamua kuingilia kati
 
Dunia ya sasa inakuwa ngumu...inabidi akubali tu ndio maana mama anaimarisha diplomasia ya kimataifa
 
achane kuabudu mizimu, hata mkiimba pambio mkapiga sebene la rhumba kabisa won't change anything, maisha lazima yaendeleee
 
Wafanyakazi wanakarbia kumnyea mdomoni Samia 😁😁😁 migomo ndo hufanya nchi isitawalike
 
Mi naombea wagome tu😂 hii nchi ilipofikia ili heshima iwepo ni lazima iwe "Sri-Lankafied" ndiko zile nta zilizoziba maskio ya watawala zitazibuka.
 
Kuna wakati unafika tunammis JPM

kuoitia hili sakata la TUCTA na serikali hqpa nimemkumbuka sana JPM, sometime udikteta unasaidia Miaka sita watu hawajaongezwa mishahara lakini hawakuongea kitu walikaa kimya kabisa kama hakuna lililotokea.

Samia kawainua wa kima cha chini kwa 70K na wengine kawaongeza ongeza lakini wanamuona hafai TUCTA wanajifanya kuipa serikali muda kwani kipindi kile walikua wapi?

JPM alikua na maamuzi magumu alikua na uwezo wa kufukuza hata wafanyakazi laki moja na msimfanye kitu, Sasa natahadharisha Rais Samia ukiendelea kuwalea hawa watu ipo siku wataanza migomo

Mambo mengine yaendeshe kwa mkono wa chuma, asiyetaka kazi aache fukuza kabisa hata kama ni watu laki moja waambie kabisa ataezingua nafukuza
Nikweli ambae hataki kazi afukuzilie mbali
 
Wakigoma tu wanaingia wapya fast sana Kuna watu wanaombea Hilo litokee maana itakuwa fursa bongo Hapa ukisusa wengine wanakula
Kuna kale ka "Memes" flani kanasema Walioko makazini wanakuwaga na feeling flani kuwa wanaweza kuacha kazi na kuanza mishe zao. Hahah usije ukajaribu mbwa ww😂😂😂
 
Back
Top Bottom