Hii nchi inahitaji kuongozwa kidikteta, Namkumbuka Hayati Magufuli sana!

Hii nchi inahitaji kuongozwa kidikteta, Namkumbuka Hayati Magufuli sana!

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ni hatari na nusu
Pale utakapoachishwa ndipo utaelewa kwamba kumbe ile laki 8 uliokuwa unainyofoa nyofoa kwenye ATM za NMB kuanzia tarehe 25 kila mwezi sio hela ya kitoto kuitengeneza mwenyewe ukiwa mtaani 😂😂😂.

Wanaong'ang'ania slip za laki 5 tu hawaelezeki. Af mtu anachukulia kazi easy. Kazi inakuletea marafiki, heshima na kuthaminiwa na jamii ila siku ukiwa huna hio kazi unaamkia kijiwe cha kahawa ndio utajua hujui.
 
Hata kama ndio Ongezeko la Elfu 32 kwelii?! [emoji23], Hii nchi bado ina mkwamo mahali.
 
Pale utakapoachishwa ndipo utaelewa kwamba kumbe ile laki 8 uliokuwa unainyofoa nyofoa kwenye ATM za NMB kuanzia tarehe 25 kila mwezi sio hela ya kitoto kuitengeneza mwenyewe ukiwa mtaani 😂😂😂.

Wanaong'ang'ania slip za laki 5 tu hawaelezeki. Af mtu anachukulia kazi easy. Kazi inakuletea marafiki, heshima na kuthaminiwa na jamii ila siku ukiwa huna hio kazi unaamkia kijiwe cha kahawa ndio utajua hujui.
Mtu analipwa laki saba anaona ndogo wakati kuna watu kuitafuta elfu tu ni kasheshe nakazia tu heshima kazi mjini Hapa
 
Mtu analipwa laki saba anaona ndogo wakati kuna watu kuitafuta elfu tu ni kasheshe nakazia tu heshima kazi mjini Hapa
Kuumiza akili hadi ikutolee million kwa mwezi kama huna support ya mtaji ambao sio limited sio kitoto. Kuna mtu ukimtoa kazini unaenda kumuua na stress mtaani hamalizi miaka hata 3 mshazika😂😂😂
 
Kuumiza akili hadi ikutolee million kwa mwezi kama huna support ya mtaji ambao sio limited sio kitoto. Kuna mtu ukimtoa kazini unaenda kumuua na stress mtaani hamalizi miaka hata 3 mshazika😂😂😂
wanaidengulia tu serikali
 
Huyo mama keshajikatia tamaa bora liende na sidhani kama ana hamu au nia ya kugombea tena. Avute za kwake mapema, kama hadi SAsa ajajenga international airport kijijini kwake itakula kwake bahati haiji mara mbili, ule wa chato unatusaidia kuanikia mahindi na samaki siku hizi
 
Uongozi ni wito sio ajira lakini afrika ni kinyume
 
Kuna wakati unafika tunammis JPM

kuoitia hili sakata la TUCTA na serikali hqpa nimemkumbuka sana JPM, sometime udikteta unasaidia Miaka sita watu hawajaongezwa mishahara lakini hawakuongea kitu walikaa kimya kabisa kama hakuna lililotokea.

Samia kawainua wa kima cha chini kwa 70K na wengine kawaongeza ongeza lakini wanamuona hafai TUCTA wanajifanya kuipa serikali muda kwani kipindi kile walikua wapi?

JPM alikua na maamuzi magumu alikua na uwezo wa kufukuza hata wafanyakazi laki moja na msimfanye kitu, Sasa natahadharisha Rais Samia ukiendelea kuwalea hawa watu ipo siku wataanza migomo

Mambo mengine yaendeshe kwa mkono wa chuma, asiyetaka kazi aache fukuza kabisa hata kama ni watu laki moja waambie kabisa ataezingua nafukuza
Una uhakika tulikuwa hatulalamiki? Au siyo nyinyi mliokuwa mkituita sisi ni wapiga dili na wenye vyeti feki? Tatizo mnajenga upuuzi wa aina fulani hivi wa kutaka kusifiwa na kutukuzwa hata katika mambo ya kawaida kabisa.

Kuongeza tu hiyo incriment, mlitegemea mvimbe vichwa kwa kusifiwa! Badala yake mkaishia kupondwa! Unategemea kila Mtanzania ni Chawa wa wanasiasa?

Mwambie basi huyo Bosi wako awafute hao wafanyakazi na kuwaajiri nyinyi Jobless, kama hiyo jeuri anayo.


Na kuhusu huyo dikteta uchwara wako bila shaka una mmiss wewe na Mataga wenzako, mliozoea kuendesha maisha yenu kupitia ule unafiki wenu wa kumpamba na kumuimbia mapambio.
 
Kuna wakati unafika tunammis JPM

kuoitia hili sakata la TUCTA na serikali hqpa nimemkumbuka sana JPM, sometime udikteta unasaidia Miaka sita watu hawajaongezwa mishahara lakini hawakuongea kitu walikaa kimya kabisa kama hakuna lililotokea.

Samia kawainua wa kima cha chini kwa 70K na wengine kawaongeza ongeza lakini wanamuona hafai TUCTA wanajifanya kuipa serikali muda kwani kipindi kile walikua wapi?

JPM alikua na maamuzi magumu alikua na uwezo wa kufukuza hata wafanyakazi laki moja na msimfanye kitu, Sasa natahadharisha Rais Samia ukiendelea kuwalea hawa watu ipo siku wataanza migomo

Mambo mengine yaendeshe kwa mkono wa chuma, asiyetaka kazi aache fukuza kabisa hata kama ni watu laki moja waambie kabisa ataezingua nafukuza

Ni mawazo yako lakini kwa wengi udikteta unasemwa kwa ushabiki nenda Uganda, Rwanda, Sudan....... kaulize kama wanapenda udikteta
 
Rais Samia Suluhu hatumii nguvu anatumia akili na mambo yanaenda vizuri
 
Hata migomo vyuoni haikusikika enzi ya JPM ila kuna sababu ya hayo yote ikiwa mwanachuo anapewa bump lake kwa wakati tena anasign kwa finger print kwa nini agome? JPM alikomesha wale waliokuwa wanachelewesha bumu kwa manufaa yao.
 
Back
Top Bottom