Hii nchi inahitaji kuongozwa kidikteta, Namkumbuka Hayati Magufuli sana!

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ni hatari na nusu
Pale utakapoachishwa ndipo utaelewa kwamba kumbe ile laki 8 uliokuwa unainyofoa nyofoa kwenye ATM za NMB kuanzia tarehe 25 kila mwezi sio hela ya kitoto kuitengeneza mwenyewe ukiwa mtaani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

Wanaong'ang'ania slip za laki 5 tu hawaelezeki. Af mtu anachukulia kazi easy. Kazi inakuletea marafiki, heshima na kuthaminiwa na jamii ila siku ukiwa huna hio kazi unaamkia kijiwe cha kahawa ndio utajua hujui.
 
Hata kama ndio Ongezeko la Elfu 32 kwelii?! [emoji23], Hii nchi bado ina mkwamo mahali.
 
Mtu analipwa laki saba anaona ndogo wakati kuna watu kuitafuta elfu tu ni kasheshe nakazia tu heshima kazi mjini Hapa
 
Mtu analipwa laki saba anaona ndogo wakati kuna watu kuitafuta elfu tu ni kasheshe nakazia tu heshima kazi mjini Hapa
Kuumiza akili hadi ikutolee million kwa mwezi kama huna support ya mtaji ambao sio limited sio kitoto. Kuna mtu ukimtoa kazini unaenda kumuua na stress mtaani hamalizi miaka hata 3 mshazika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kuumiza akili hadi ikutolee million kwa mwezi kama huna support ya mtaji ambao sio limited sio kitoto. Kuna mtu ukimtoa kazini unaenda kumuua na stress mtaani hamalizi miaka hata 3 mshazika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
wanaidengulia tu serikali
 
Huyo mama keshajikatia tamaa bora liende na sidhani kama ana hamu au nia ya kugombea tena. Avute za kwake mapema, kama hadi SAsa ajajenga international airport kijijini kwake itakula kwake bahati haiji mara mbili, ule wa chato unatusaidia kuanikia mahindi na samaki siku hizi
 
Uongozi ni wito sio ajira lakini afrika ni kinyume
 
Una uhakika tulikuwa hatulalamiki? Au siyo nyinyi mliokuwa mkituita sisi ni wapiga dili na wenye vyeti feki? Tatizo mnajenga upuuzi wa aina fulani hivi wa kutaka kusifiwa na kutukuzwa hata katika mambo ya kawaida kabisa.

Kuongeza tu hiyo incriment, mlitegemea mvimbe vichwa kwa kusifiwa! Badala yake mkaishia kupondwa! Unategemea kila Mtanzania ni Chawa wa wanasiasa?

Mwambie basi huyo Bosi wako awafute hao wafanyakazi na kuwaajiri nyinyi Jobless, kama hiyo jeuri anayo.


Na kuhusu huyo dikteta uchwara wako bila shaka una mmiss wewe na Mataga wenzako, mliozoea kuendesha maisha yenu kupitia ule unafiki wenu wa kumpamba na kumuimbia mapambio.
 

Ni mawazo yako lakini kwa wengi udikteta unasemwa kwa ushabiki nenda Uganda, Rwanda, Sudan....... kaulize kama wanapenda udikteta
 
Rais Samia Suluhu hatumii nguvu anatumia akili na mambo yanaenda vizuri
 
Hata migomo vyuoni haikusikika enzi ya JPM ila kuna sababu ya hayo yote ikiwa mwanachuo anapewa bump lake kwa wakati tena anasign kwa finger print kwa nini agome? JPM alikomesha wale waliokuwa wanachelewesha bumu kwa manufaa yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ