Hii nchi kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa kama hata Makonda naye aliteuliwa basi kila mtu anaweza.

Hii nchi kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa kama hata Makonda naye aliteuliwa basi kila mtu anaweza.

Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is true"
Siku kuwa RC pekee mtu yoyote Tanzania anaweza kuwa Rais
 
Siyo mkuu wa mkoa tu.mtu yeyote anaweza kuwa rais hata kichaa.wewe angalia tu rais Samia anavyopuyanga.kila kitu kauza na kufanya matamasha ya ajabuajabu tu.mfano royal tour hakuna chochote tulichonufaika nacho,anuani za makazi Hadi wa kina nape nauye wakawa wanapaa angani na ndege za jeshi kuchezea Kodi zetu lakini hakuna faida tuliyopata na Kwa Sasa Tena anatembea na msafara wa magari usiopungua miambili Kwa Kodi zetu.yaani huyu hakustahili kabisa kurithishwa sema tu Kwa kuwa katiba ilitungwa na wabunge vichaa ambao wamepelekea kupata kiongozi kichaa kama huyu.
Mifumo imeoza kabisa
 
Magufuli ndio amekutoa kwenye mgao wa umeme sasa unaweza kuchaji kisimu chako uje kumkashifu mtandaoni.
Siyo jpm ni samia. Nyerere alianza, kikwete akaendeleza, mkapa akaendeleza, jpm akaendeleza, samiakamaliza. Na ikumbukwe jpm alijenga kwa asilimia 32 tu pesa ikakata. Samia alikuwa na kila sababu ya kuutelekekeza mradi na kuanzisha vya kwake kama angependa masifa kama jpm alivyotelekeza mradi wa ujenzi wa bandari bagamoyo kisa ni wa jk akaanzisha vya kwake
 
Siyo jpm ni samia. Nyerere alianza, kikwete akaendeleza, mkapa akaendeleza, jpm akaendeleza, samiakamaliza. Na ikumbukwe jpm alijenga kwa asilimia 32 tu pesa ikakata. Samia alikuwa na kila sababu ya kuutelekekeza mradi na kuanzisha vya kwake kama angependa masifa kama jpm alivyotelekeza mradi wa ujenzi wa bandari bagamoyo kisa ni wa jk akaanzisha vya kwake
Mavi wewe! Aliyempa SSH urais ni nani kama sio JPM? Ataanzaje kukataa kuendekeza miradi ya mwamba? Chezea wewe!
 
Watu kama nyie mna ugonjwa unaitwa academic arrogance,dalili moja wapo ni kuwaponda watu waliofanikiwa kama viongozi na wafanyabiashara wakubwa kuwa wana uwezo mdogo kiakili,huku ukishangaa wamefikaje hapo walipo.Hicho kilichomfikisha hapo ndo alichonacho na ndo unachokikosa wewe
Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is tr
 
Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is true"
Umekuja mjini lini!? Au wewe ndo wale wenye Umoja sana kwenye Ushoga na Ufisadi?
 
Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is true"
Hata
1. Baba levo
2. Steve Nyerere
3. Kingwendu hawa wote wanaweza vizuri tu
 
Kwa siasa za Tanzania Makonda anafaa sana kuliko baraza lote la Mawaziri. Makonda ameshamhakikishia ushindi Rais kwa sababu ameshateka mioyo ya watu wengi Arusha. Kati ya wakuu wa mikoa yote Tanzania hakuna hata mmoja anayemfikia Makonda. Acha kutoa mapovu rudi mwanzo usome. Nimesema kwa siasa za Tanzania.
 
Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is true"

Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is true"
Labda kama unaongea kinyume cha ukweli utaeleweka, lakiniki uhalisia Makonda ni mbunifu na mchapa kazi asiyehitaji MACHAWA kumtangaza kama wengine, kazi zake nzuri zinaonekana hata kwa Vipofu.
 
Labda kama unaongea kinyume cha ukweli utaeleweka, lakiniki uhalisia Makonda ni mbunifu na mchapa kazi asiyehitaji MACHAWA kumtangaza kama wengine, kazi zake nzuri zinaonekana hata kwa Vipofu.
Kazi zipi. Taja hata moja iliyofanikiwa
 
Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi.
Hata creativity ya maendeleo hata kidogo yeye ni kudeal na wadudu daily as if there is only one dimension in leadership.

Nimekubaliana na mwamafalsafa mmoja kwamba "If you excel in class you are likely to excel in so many things and vice versa is true"
Kweli kabisa walioteua Makonda wanafanana nae, hovyo!
 
Back
Top Bottom