Hii nchi kila mtu anaweza kuwa mkuu wa mkoa kama hata Makonda naye aliteuliwa basi kila mtu anaweza.

Siku kuwa RC pekee mtu yoyote Tanzania anaweza kuwa Rais
 
Mifumo imeoza kabisa
 
Magufuli ndio amekutoa kwenye mgao wa umeme sasa unaweza kuchaji kisimu chako uje kumkashifu mtandaoni.
Siyo jpm ni samia. Nyerere alianza, kikwete akaendeleza, mkapa akaendeleza, jpm akaendeleza, samiakamaliza. Na ikumbukwe jpm alijenga kwa asilimia 32 tu pesa ikakata. Samia alikuwa na kila sababu ya kuutelekekeza mradi na kuanzisha vya kwake kama angependa masifa kama jpm alivyotelekeza mradi wa ujenzi wa bandari bagamoyo kisa ni wa jk akaanzisha vya kwake
 
Mavi wewe! Aliyempa SSH urais ni nani kama sio JPM? Ataanzaje kukataa kuendekeza miradi ya mwamba? Chezea wewe!
 
Watu kama nyie mna ugonjwa unaitwa academic arrogance,dalili moja wapo ni kuwaponda watu waliofanikiwa kama viongozi na wafanyabiashara wakubwa kuwa wana uwezo mdogo kiakili,huku ukishangaa wamefikaje hapo walipo.Hicho kilichomfikisha hapo ndo alichonacho na ndo unachokikosa wewe
 
Umekuja mjini lini!? Au wewe ndo wale wenye Umoja sana kwenye Ushoga na Ufisadi?
 
Hata
1. Baba levo
2. Steve Nyerere
3. Kingwendu hawa wote wanaweza vizuri tu
 
Kwa siasa za Tanzania Makonda anafaa sana kuliko baraza lote la Mawaziri. Makonda ameshamhakikishia ushindi Rais kwa sababu ameshateka mioyo ya watu wengi Arusha. Kati ya wakuu wa mikoa yote Tanzania hakuna hata mmoja anayemfikia Makonda. Acha kutoa mapovu rudi mwanzo usome. Nimesema kwa siasa za Tanzania.
 

Labda kama unaongea kinyume cha ukweli utaeleweka, lakiniki uhalisia Makonda ni mbunifu na mchapa kazi asiyehitaji MACHAWA kumtangaza kama wengine, kazi zake nzuri zinaonekana hata kwa Vipofu.
 
Labda kama unaongea kinyume cha ukweli utaeleweka, lakiniki uhalisia Makonda ni mbunifu na mchapa kazi asiyehitaji MACHAWA kumtangaza kama wengine, kazi zake nzuri zinaonekana hata kwa Vipofu.
Kazi zipi. Taja hata moja iliyofanikiwa
 
Kweli kabisa walioteua Makonda wanafanana nae, hovyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…