Hii nchi kuna Watumishi wa Umma wanakula raha nyie

Hii nchi kuna Watumishi wa Umma wanakula raha nyie

Kuna rafiki yangu anafanya kazi TPA akitokea Taasisi moja ya umma baada ya Uhamisho kukamilika. Si unajua ukiwa na mbuyu unaweza kuhamia popote utakapotaka.

Sasa niweke pembeni habari za huyu mtumishi.

Yeye ni junior hana maajabu zaidi ya mshahara na posho zake za kawaida. Ila si haba ni pesa ndefu sana. Mshahara wake uliongezeka mara 4 zaidi ya mishahara wake wa zamani.

Kiutumishi nimemzidi cheo kwa daraja Moja maana tuko kada moja ila mshahara kaniacha mbali. Sasa akipanda daraja sijui ataniacha wapi.

Baba yake ni miongoni mwa viongozi wakubwa TPA, anasema kuwa baba yake na viongozi wenzake wana vikao 3 kwa siku na kila kikao kina posho.

Kwahiyo kwa wiki wanakaa vikao zaidi ya kumi na kila kikao kuna fedha.

Hapo piga wewe hesabu huyu mtu kwa mwezi anapata sh ngapi za kikao?

Asubuhi kuna kikao cha kupanga mikakati ya siku , mchana kikao cha kufanya tathmini, jioni cha kufunga kazi.

Hii nchi kuna watu ukiilaani serikali wanaweza kukupiga ngumi hadharani.
Wanalipwa shin ngapi?Asije akawa anakudanganya tu.
 
Kisukari, Shinikizo La Damu, Gauti, Uzito Mkubwa,
Hachomoi Nasema, Acha Tuone!!!
 
Kuna sehemu mfanyakaz wa kawaida tu tena ana diploma analipwa:- mshahara, risk allowance, house allowance, transport allowance, overtime kilasiku, communication allowance... Akijumlisha per month anaondoka na Million 3.4 cash....
Sasa wewe ng'ombe mtaani endelea kujifanya unajua kuimba nyimbo za kizalendo wakat wenzako wanakula mema ya nchi
Sehemu gani?
 
Kuna rafiki yangu anafanya kazi TPA akitokea Taasisi moja ya umma baada ya Uhamisho kukamilika. Si unajua ukiwa na mbuyu unaweza kuhamia popote utakapotaka.

Sasa niweke pembeni habari za huyu mtumishi.

Yeye ni junior hana maajabu zaidi ya mshahara na posho zake za kawaida. Ila si haba ni pesa ndefu sana. Mshahara wake uliongezeka mara 4 zaidi ya mishahara wake wa zamani.

Kiutumishi nimemzidi cheo kwa daraja Moja maana tuko kada moja ila mshahara kaniacha mbali. Sasa akipanda daraja sijui ataniacha wapi.

Baba yake ni miongoni mwa viongozi wakubwa TPA, anasema kuwa baba yake na viongozi wenzake wana vikao 3 kwa siku na kila kikao kina posho.

Kwahiyo kwa wiki wanakaa vikao zaidi ya kumi na kila kikao kuna fedha.

Hapo piga wewe hesabu huyu mtu kwa mwezi anapata sh ngapi za kikao?

Asubuhi kuna kikao cha kupanga mikakati ya siku , mchana kikao cha kufanya tathmini, jioni cha kufunga kazi.

Hii nchi kuna watu ukiilaani serikali wanaweza kukupiga ngumi hadharani.
Mwanzo wa KUWANGIANA
 
Ikiingia serikali makini madarakani nikufuta Kabisa au kuondoa hizo posho zote za vikao. Vikao viwe sehemu ya kazi maana ndivo ilivo. Kumlipa mtu posho ya vikao siku hiohio alipwe na mshahara wa siku ni double payment. Nchi hii sio masikini kivile hakuna ugawanywaji sawa kufikia jamii nzima. Nahii ndoinaweka gap kubwa.
Acha wanga mkuu, philosophy sio kuwafanya Malaika waishi kama mashetani Bali ni kuwafanya mashetani nao waishi kama Malaika. Kwanini hujafikiria hiyo serikali makini ikiingia madarakani isiongeze posho kwa watumishi ambao hawana posho? Baada ya jiwe kukick the bucket, mama alituanzishia kaposho ka house allowance sie baadhi ya watumishi natamani na wengine wapate.
 
Acha wanga mkuu, philosophy sio kuwafanya Malaika waishi kama mashetani Bali ni kuwafanya mashetani nao waishi kama Malaika. Kwanini hujafikiria hiyo serikali makini ikiingia madarakani isiongeze posho kwa watumishi ambao hawana posho? Baada ya jiwe kukick the bucket, mama alituanzishia kaposho ka house allowance sie baadhi ya watumishi natamani na wengine wapate.
Ubinafsi mkubwa wa waafrika ndounaotuweka hapa tulipo. Kukishakuwa na usawa sikuzote vita hakuna. Hakuna usawa nchi hii kwakuwa rasilimali zinaelekea upande mmoja na kuacha upande mwingine mtupu Kabisa watu masikini wakiteseka. Hizo fedha zanyongeza zinazolipwa zikusanywe zikazibe gap za masikini na sehemu yauhitaji huduma muhimu za jamii.
 
Wanalipwa shin ngapi?Asije akawa anakudanganya tu.
Hakuniambia kuwa kikao kimoja sh.ngapi but aliniambia tu kuwa faza wake anakaa vikao 3 kwa siku na vyote analipwa. Mtoto na baba wote ni watumishi wa TPA.
Nilimuuliza kuhusu maslahi zake za mshahara na posho akaniambia , maslahi ya mzazi wake sikumuuliza
 
Kuna rafiki yangu anafanya kazi TPA akitokea Taasisi moja ya umma baada ya Uhamisho kukamilika. Si unajua ukiwa na mbuyu unaweza kuhamia popote utakapotaka.

Sasa niweke pembeni habari za huyu mtumishi.

Yeye ni junior hana maajabu zaidi ya mshahara na posho zake za kawaida. Ila si haba ni pesa ndefu sana. Mshahara wake uliongezeka mara 4 zaidi ya mishahara wake wa zamani.

Kiutumishi nimemzidi cheo kwa daraja Moja maana tuko kada moja ila mshahara kaniacha mbali. Sasa akipanda daraja sijui ataniacha wapi.

Baba yake ni miongoni mwa viongozi wakubwa TPA, anasema kuwa baba yake na viongozi wenzake wana vikao 3 kwa siku na kila kikao kina posho.

Kwahiyo kwa wiki wanakaa vikao zaidi ya kumi na kila kikao kuna fedha.

Hapo piga wewe hesabu huyu mtu kwa mwezi anapata sh ngapi za kikao?

Asubuhi kuna kikao cha kupanga mikakati ya siku , mchana kikao cha kufanya tathmini, jioni cha kufunga kazi.

Hii nchi kuna watu ukiilaani serikali wanaweza kukupiga ngumi hadharani.
Mhhh Hilo vikao vya posho mar Tatu Kwa siku mhhhh ... Hiyo ni taarabu shtuka!
 
Back
Top Bottom