Hii nchi kwa sasa inakosa viongozi wenye maono na tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi

Hii nchi kwa sasa inakosa viongozi wenye maono na tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Kwa sasa tuna uhaba mkubwa sana wa watu wenye maono na fikra, wengi waliopo kwa sasa kizazi hiki ni wale ambao hawaijui kuwaza ya kesho na hawana maono ya kesho.

Wao wanaiwaza leo tu na mawazo yanaishia hapo na ndio maana hakuna kitu kipo katika mpangilio mzuri wa baadae kila jambo linafanyika ni kwa leo tu.

Hili ni tatizo kubwa katika jamii yetu ya watanganyika.
 
Kuna mwana saikolojia moja ana sema hili tatizo la kuwa Leo na kutoiweka Kesho maanani IPO afrika .
 
Shida tunawaza kwa level ya family kwa viongozi wetu
 
Viongozi wetu hata wale wastaafu wengi wao wanawaza urefu ngazi ya familia......yaani wanaangalia maslahi ya watoto na familia zao.......ndio hawa wamegeuka kuwa CHAWA...
 
Kwa sasa tuna uhaba mkubwa sana wa watu wenye maono na fikra, wengi waliopo kwa sasa kizazi hiki ni wale ambao hawaijui kuwaza ya kesho na hawana maono ya kesho.

Wao wanaiwaza leo tu na mawazo yanaishia hapo na ndio maana hakuna kitu kipo katika mpangilio mzuri wa baadae kila jambo linafanyika ni kwa leo tu.

Hili ni tatizo kubwa katika jamii yetu ya watanganyika.
Naamin hilo kua wanaangalia leo tu, cz tawala hizi hazina long plan kabisa ndo maan utaona kila mmoja akiingia anaingia na priority zake. Ili mradi..."Chukua chako mapema" iwe activated!!
 
"Maliasili zetu Watanzania zinachukuliwa bure haya ni maajabu,sitaruhusu hilo" Hayati Rais John Pombe Magufuli.
 

Attachments

  • VID-20230715-WA0734.mp4
    9.5 MB
Back
Top Bottom