Hii Nchi Wajinga wengi. Haya ndiyo maoni ya Dira ya Maendeleo 2050

Potential ya zanzibar na huku ni tofauti . Hwana mbuga , madini , gesi wanasikia tu yaani kila kitu hawana kilimo ndio kabisa kama utalii kwao uko fresh muda wote .


Wengine wazee hata 2050 kwa maisha yao hawafiki .
 
Potential ya zanzibar na huku ni tofauti . Hwana mbuga , madini , gesi wanasikia tu yaani kila kitu hawana kilimo ndio kabisa kama utalii kwao uko fresh muda wote .


Wengine wazee hata 2050 kwa maisha yao hawafiki .
Sidhan its abiut potential, elimu of how mambo yanakwendaje huko duniani hawana, focus zao ni kwenye minor things only.

Hawalioni taifa lao 10 years from now
 
Potential ya zanzibar na huku ni tofauti . Hwana mbuga , madini , gesi wanasikia tu yaani kila kitu hawana kilimo ndio kabisa kama utalii kwao uko fresh muda wote .


Wengine wazee hata 2050 kwa maisha yao hawafiki .
Hakuna excuse katika hili mkuu,hao watu wametawaliwa na ujinga sana angalau wakija huku wanabadilika. Watanganyika kun ujinga ila hao wamezidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…