Hii Nchi Wajinga wengi. Haya ndiyo maoni ya Dira ya Maendeleo 2050

Hii Nchi Wajinga wengi. Haya ndiyo maoni ya Dira ya Maendeleo 2050

Hawa ndio wananchi wa Tanzania kutokea Zanzibar. Kumtawala mtu anayependa starehe kama hawa ndugu zetu ni simple sana.
 
Mkakati wa kuwafanya Watanzania kuwa wajinga uliasisiwa toka awamu ya kwanza.
Leo kuna watu wanaamini taasisi zote za serikali ni za ccm na siku ikitoka madarakani inaondoka nazo na itabidi chama kingine kikiingia madarakani itabidi ianzishe upya.
Yaani mtu anaamini Polisi,jwtz tra,benki kuu,Hospitali zote shule zote na taasisi nyingine kadhaa ni za ccm sasa hiko chama kingine kitaongozaje? Basi mtu akifikiria hivyo tu anajikuta anaipigia kura ccm maana bila hivyo inaweza kuzuka vurugu na amani ikapotea 🤣🤣
 
Kwani kulikuwa hakuna jinsi ya kupata sample kwenye population au wakusanya maoni nao ni wale wale?
 
kuna mila yao inasemekana mtoto mchanga anaminywa kichwa hili hasije kuwa na kichogo so thus why hawa jamaa wengi hawana vichogo ndio maana akili zao ni kama hazipo sawa ...

wengi nao waona huku wako the same wazanzibar wengi kichwani hawako smart hiyo sio siri


... Kuna mtu niliwahi mskia eti anasema ukianza kusoma maandishi kutokea kulia akili ina left
😀
 
Hawa ndio wananchi wa Tanzania kutokea Zanzibar. Kumtawala mtu anayependa starehe kama hawa ndugu zetu ni simple sana.
Halafu ni vinyonyaji kama nini, Tanganyika kwa sasa tunaumizwa sana na hao kupe wala urojo…, wanataka umeme usikatike ila hawataki kutulipa bili za umeme, hiyo ni nini sasa?!
 
Usiwapangie watu jinsi ya kutoa maoni.ni haki yao.
Mazuri yabebwe mabaya yaachwe hakuna haja ya kuwashangaa.
 
Back
Top Bottom