Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Lack of sense? Yaani kisa amedhibiti wala rushwa na wabadhirifu? Kisa anajenga Sgr,Daraja la wami na busisi? Kisa amenunua ndege kwa hela cash Dremliner na midege ya Airbus. Kajenga hospital ,vituo vya afya na zahanati lukuki. Mlitaka raisi gani? Au ndio upungufu wa akili!Huyu ni Rais anayependwa na wajinga na wapumbavu, ni Rais wa hovyo kabisa East Africa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yameshakuwa kama mapambio. Je jukwaani mtaongealea nini? Kwamba mnaweza kupewa dola? Na mkipewa mtajenga Sgr,Mradi kama JNHP, ubungo interchange Zahanati,Shule,mahospital n.kSerikali inayopenda kesi za kijinga na kuhonga viongozi wa upinzani Kama malimbukeni
Awamu iliyopita ilikuwa na uvundo mwingiZiko sababu lukuki za kuonesha namna awamu hii ilivyofeli
1. Ikumbukwe walipoingia madarakani walituaminisha masuala ya wafanyakazi hewa na wanafunzi hewa wakatuambia na kiasi walichookoa na wakaendelea kutuaminisha awamu zilizopita zilikusanya kidogo embu tuone kuna ukweli.
(A) Awamu iliyopita hawakuchukua vyanzo vyama halmashauri, kwa wa machinga pia hawakuchukua sekta binafsi ndio ilikuwa injini sasa awamu hiii imechukua vyanzo vyote vya halimashauri lakini inaongoza kwa kukopa tena nje ya utaratibu Leo tycoon akitaka hata ajengewe sanamu yake pale chamwino DODOMA hahitaji baraka za bunge
(B) Mahakama kuwa karibu na serikali hasa kwenye kesi zinazokiuka haki rejea kesi ya Godbless Lema kesi ya viongozi wa chadema ama kesi iliyosomwa jana ya Mike Mushi na Melo nyuma ya hizi hukumu kuna mkono shinikizi kupitia mfumo
2. Hii ndio awamu inayooongoza kwa vitendo vya kikandamizaji tena hawajali rejea mauaji ya Kibiti ama kupotea kwa watu mbalimbali yu wapi msaadizi wa Freeman Mbowe ndugu Ben Rabiu Saanane wapi alipo Simoni Kanguye wapi alipo Azori Gwanda haya yote yanaonesha jinsi awamu hii ilivyoshindwa kulinda ustawi wa jamii
3. Kushambuliwa kiongozi wa upinzani mh Tundu Athipas Lissu katikati ya vipindi vya bunge na kuvuliwa ubunge kinyume cha sheria na pia kukosa hata kumnyima stahiki yake ya matibabu
Yote kwa yote hiii ndio awamu imeshindwa kuajiri kwa miaka zaidi ya minne imeshindwa kupunguza tatizo la ajira imepelekea vijana wengi kushiriki betting kwa kikukosa ajira
Mwisho huu ni mwaka wa uchaguzi ni lazima umma tukarejeshe utu uwajibikaji wa umma na demokrasia ishamiri tena kupitia sanduku la kura hiii ndo fimbo ya mnyonge ya kutetea utu wetu
#stayhome
#tunatakatumehuru
[emoji111]️
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo la mwisho la kuajiri; kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi ndio iendeshe uchumi hiyo kutoa ajira na kulipa kodi stahiki. Hivyo cha kuajiri ni kuangalia ajira za zimeongezeka katika sekta binafsi badala ya kuangalia tuu ajira serikalini.
Kama nakuona vile unavyoona aibu kutetea usiyo yajuaGongo la mavi hilo!
Kwa tume isiyo huru ya sasa wapinzani wanaweza wasipate jimbo hata moja. Upo hapo ?Kuwa mbunge wa kuteuliwa sio sababu ya kumbeza mtu. Suala la msingi ametoa hoja ya namna gani?na ina mantiki gani?
We huoni Chadema na wapinzani wote wanatakiwa wasipoteze pesa zao kuweka mgombea wa urais? Maana hata ubunge na udiwani itakuwa tabu sana kutoboa.
'policy uncertainity' umenikumbusha korosha ambapapo baba na mama lishe walikosa pesa ,wabeba mizigo,wasafirishaji,wenye vyumba vya kulala wangine watajeni wote walikosa pesaSerikali inabambikia wafanyabiashara kesi Leo watu wameondoa mitaji Yao imeshindwa kuiwezesha sekta binafsi Leo tenda utasikia jkt mara magereza hizo ajira zitakuja je kwenye sekta binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo sekta binafsi kama zinamazingira magumu na wasi wasi, zitastawi vipi ziweze kuajiri?Hilo la mwisho la kuajiri; kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi ndio iendeshe uchumi hiyo kutoa ajira na kulipa kodi stahiki. Hivyo cha kuajiri ni kuangalia ajira za zimeongezeka katika sekta binafsi badala ya kuangalia tuu ajira serikalini.
Kijana acha kukariri watu wanaangalia delivery of good results. Kwa mambo aliyoyafanya JPM na CCM yake kama chairman hata mlete refa gani mtapigwa tu. Japokuwa mnasingizia tume. Wakati hata hii ya sasa ipo huru na inafanya kazi kw mujibu wa katiba na sheria za nchi.Kwa tume isiyo huru ya sasa wapinzani wanaweza wasipate jimbo hata moja. Upo hapo ?
'policy uncertainity' umenikumbusha korosha ambapapo baba na mama lishe walikosa pesa ,wabeba mizigo,wasafirishaji,wenye vyumba vya kulala wangine watajeni wote walikosa pesa
Sekta binafsi ndio katika awamu hii zimepoteana kabisa.Hilo la mwisho la kuajiri; kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi ili sekta binafsi ndio iendeshe uchumi hiyo kutoa ajira na kulipa kodi stahiki. Hivyo cha kuajiri ni kuangalia ajira za zimeongezeka katika sekta binafsi badala ya kuangalia tuu ajira serikalini.
Which point are u trying to make ?Kijana acha kukariri watu wanaangalia delivery of good results. Kwa mambo aliyoyafanya JPM na CCM yake kama chairman hata mlete refa gani mtapigwa tu. Japokuwa mnasingizia tume. Wakati hata hii ya sasa ipo huru na inafanya kazi kw mujibu wa katiba na sheria za nchi.
Umeona kwa macho yako A+BWhich point are u trying to make ?
Sasa huyu unaye mtetea ndo anajigamba kuwa muumini wa sera mfu.sasa wewe unataka tusubir hadi hayo mabaya unayotusimulia yatupate au tumpige chini kwa kuwa nyota nje huonekana asubuhiMiaka mitano ni kidogo mno kumhukumu Raisi Magufuli
Sisi tulimwona Mwl.Nyerere,Mwinyi,Mkapa Kikwete hadi Magu.
Lakini Mwl.Nyerere Aliumiza watu wengi sana na sera ya vijiji vya ujamaa bila maandalizi iliyopelekea kushuka sana kwa mazao ya chakula kwa kipindi kirefu.
Watu waliburuzwa kutoka makazi yao wakarundikwa kama viazi bila nyumba wala chakula porini,wengine wakaliwa wanyama wakati.Nilitegemea kwa watawala waliopita kutuomba msamaha kwa hiyo sera mfu ya vijiji vya ujamaa.
Japo tulikuwa na ardhi yenye rutuba na ya kutosha lakini tuliishi kwa chakula cha msaada "Yanga" kwa kipindi kirefu hadi alipokuja Raisi Mwinyi na sera yake maarufu RUKSA.
Ukifanya tafiti ya hasara aliotuletea Nyerere kwa sera zake za kukurupuka wala Magufuli hawezi kamwe kumfikia.
Wengi wenu mlikuwa hamjazaliwa na uhuru wa kupata habari haukuwepo kama sasa.
Hata vita ya Kagera ilizaliwa kwa sababu ya urafiki wa watu wawili.Nyerere na Obote.Laiti Raisi Nyerere angesikiliza mawazo ya Majenerali wake na kuwa neutral kama Kenya,tungeepuka vita vya kibanda hasara,shilling yetu ingekuwa na nguvu sawa sawa kama ya Kenya.
sasa shangaa poliice,tume na watanzania wengine wanavyompigania aongeze miaka 5,yaani sometime unashindwa elewa Kama hao watu ni binadamu au wanyamaSiamini kuwa kunaweza kukatokea Rais incompetent, hopeless na useless kama Magufuli.
bwege mamako
Mkuu angalau kwa sasa unaweza kutoa maoni,enzi zetu haikuwa hivyo.Lakini shilling yetu haitelemki ipo ngangali kwa miaka mitano tofauti na huko nyumaSasa huyu unaye mtetea ndo anajigamba kuwa muumini wa sera mfu.sasa wewe unataka tusubir hadi hayo mabaya unayotusimulia yatupate au tumpige chini kwa kuwa nyota nje huonekana asubuhi