Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye


Pamoja na maelezo haya mazuri, hii ni moja ya sababu ya kushuka kwa elimu yetu tunayoishuhudia sasa. Ni hawa hawa wanaoendesha mambo ikiwemo elimu. Je unamsemaje mtu anayefikiria kupata PhD ya mtandao ni sahihi na akajiita Dr ilimradi tu atambuliwe mpaka pale watu wanapopiga kelele ndiyo anaconda Mzumbe kuifanya formal! Unafikiri atasisitizia watu kusoma elimu inayoeleweka na kuweka msingi mzuri wa elimu. Kubwa hawa ndio walimu walioko kwenye shule zetu zinazotoa msingi wa elimu yetu. Tunahitaji mabadiliko siyo vyeti vya 'darasani'
 


MUONGO NAMBA MOJA NA MWISHO DUNIANI!!!! Kama umehama boarding ndo uhame na day school na pia uhame na shule. Muongo kabisa!! Njoo na uongo mwingine huu umekwama!!!
 

chicken's footprints!
 
Sasa tujadili mstakabali wa tanzania na mgwanyiko wa elimu dunia tujadili tatizo la mitaala na mfumo mbovu wa elimu linalosababisha kuzalisha watu tegemezi kwa taifa, tujadili ukosefu wa maji safi na salama kwa wakzi wa jiji la dar es saam na miji mikubwa tujadili ucheleweshwaji wa huduma za jamiii kwa wananchi na fursa za upatikanaji wa huduma nzuri kwa mlipa kodi tukomboe tanzania kwa kujadili maswala ya msingi ya tanzania
 
Ni muhimu pia tujadili ukweli wa viongozi wetu.

Hapa kuna mashaka ya Nape kutumia sifa za kughushi za O level na A level.

Umesahau Ujerumani yule aliyekuwa waziri wa ulinzi Bw. Gutenberg alijiuzulu kwa kuwa PhD yake iligundulika kuwa feki?
 
safi nape kumbe ni msomi mzuri tu.

Mbona hakuna qualifications kwenye kila ngazi ya elimu aliyosoma? Hakuna kitu hapo, unaongopa kuweka div IV ya point 29 aliyoondoka nayo Nsumba? AIBU KWELI, hiyo advance alisomaje kama siyo kuunga unga?
 


Ninasema hivyo kwa sababu mimi pia nilikuwa nasoma katika Shule ya Sekondari ya Butimba, katika kipindi hicho hicho ambacho mnasema Nape alikuwa anasoma, shule hiyo inamilikiwa ama ipo chini ya uongozi wa Butimba TTC, hakukuwa na kitu kama hicho. Labda mseme kwamba, alifanya mtihani as a Private Candidate kwenye kituo cha Butimba TTC nitakubaliana nanyi, but kusema kwamba alisoma EGM hapo Butimba TTC ni upotoshaji.

n.b : Kuna uhusiano gani kati ya hoja yangu ni kiwango changu cha elimu? Mi nadhani wewe ndio haujasoma kwa sababu wasomi huwa hawajibu hoja zao kwa kutoa maneno ya kashfa. Fahamu kuwa kusoma hakukufanyi kujua kila kitu kaka!
 

Mkuu jipangeni vizuri kuhusu hili ambalo mnataka kuuamisha Umma kuwa mpo sahihi.....kuna makosa mmefanya kaaa na wenzako Nape,Mafilifili na Tandaleone litawaaacha nyakanyaka mwisho wa siku.Unachojaribu kufanya hapa ni kujaribu kupilizia Mavi Pafyum!Sorry!:rockon:
 
Kweli ww ni mbulula,BUTIMBA ni chuo cha ualimu na kina shule ya mazoezi inayotoa elimu ya o-level prided,mm nimesoma hapo,huyu nape alikuwa na darasa lake binafsi la A-level?,wadanganye magamba wenzako mwehu we.
 
Huu usanii wa katibu wa uenezi na Itikadi haukubaliki...

Credit 3 za kufanyia mtihani wa Form6 alizipata wapi???

Alifeli form 4 kwa kupata division 4 ya point 29. Labda muandike na shule aliyorisiti vinginevyo asingeruhusiwa kuketi kwa mtihani wa kidato cha 6. Usanii ndio kazi yenu huko CCM, kila kitu mnachakachua hata Lukuvi ana MASTER
 
hatuhitaji siasa kwenye elimu sawa alisoma Nsumba akamaliza alipata division ngapi na ya point ngapi? Je, alisoma EGM butimba TTC kuna shule pale ya secondary au kuna chuo cha ualimu? kuhusu hizo thesis azilizo andika anaweza kutupa link ya kutuonyesha hata paper mmoja aliyopublish wakati akimaliza hata Masters yake?
 
Jamani angalieni uwezo wa Nape wa kutoa hoja kwenye video clip hii.


Ndio maana nasema, CCM ilikosea sana kumchukua mtu wa Division IV Form 4 (29 points) na elimu ya uchakachuzi iliofuata kuwa ndiye mpanga mikakati wao, na msemaji wao.

Anadhani kukasirika kunafanya point isikike zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Hivi unaelewa maana ya CV? Hii ni taarifa ya sehemu alikosomea. Ungeongeza sifa yake ya KUJICHUBUA. Tangu lini TTC wana kidato cha 5 na 6?
 
BUTIMBA ni chuo cha ualimu,mm nimesoma hapo,kina shule ya mazoezi inayotoa elimu ya o-level,haijawahi kuwepo high school pale,mm nimesoma hapo,hiyo elimu ya A-level alifundishwa na nani huyo nape?,acha kutufanya mambulula,wadanganye magamba wenzako mwehu wewe.
 
Mbona sasa sioni kama anatumia ELIMU yake kwa manufaa ya TAIFA...zaidi naona anainufaisha CCM tu!!!
 
Dah! Hii kusema ukweli imekaa kama MEMKWA pyua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…