BUTIMBA ni chuo cha ualimu,mm nimesoma hapo,kina shule ya mazoezi inayotoa elimu ya o-level,haijawahi kuwepo high school pale,mm nimesoma hapo,hiyo elimu ya A-level alifundishwa na nani huyo nape?,acha kutufanya mambulula,wadanganye magamba wenzako mwehu wewe.
Ni muhimu pia tujadili ukweli wa viongozi wetu.
Hapa kuna mashaka ya Nape kutumia sifa za kughushi za O level na A level.
Umesahau Ujerumani yule aliyekuwa waziri wa ulinzi Bw. Gutenberg alijiuzulu kwa kuwa PhD yake iligundulika kuwa feki?
Unaweza kuelewa hoja zake anaposema Bunge lisirushwe hewani live kwa kuangalia hiyo F ya Elimu ya Uraia.Wakati Nape alipokuwa anafanya mtihani wa O-level lazima paper zilileak, ispokuwa civics, english and maths. Haiwezekani apate D ya chem, Physics, history au biology, then apate F ya civics au english! Kusingekuwa na leakage masomo yote angepata F.
Nape aliweza kurudia baadhi ya masomo na kusafisha cheti ndipo vyuo husika vikampokea; tumpe pongezi kwa uthubutu wa kutokata tamaa
kumbe nape ni mwepesi sana! eeeh...
Ni center ya Private candidates. Lakini sio shule ya kusomea A level.
Sijakanusha Butimba TTC kuwa center ya mitihani.
Mkuu jipangeni vizuri kuhusu hili ambalo mnataka kuuamisha Umma kuwa mpo sahihi.....kuna makosa mmefanya kaaa na wenzako Nape,Mafilifili na Tandaleone litawaaacha nyakanyaka mwisho wa siku.Unachojaribu kufanya hapa ni kujaribu kupilizia Mavi Pafyum!Sorry!:rockon:
Nilisoma Franciscan Seminary Maua (FRASEMA) mpaka kidato cha nne; nilipata daraja la kwanza; nikiwa na alama A katika masomo tisa. ...
Pamoja na kusoma kutwa huku nikifanya kazi nilipata daraja la pili katika kidato cha sita. ..
Mwaka 2002 nilijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Es Salaam kusomea "Bachelor in Business Administration (BBA).......
Kwa hiyo, nijibu tu kuhusu elimu yangu ya juu kwamba nimesoma miaka mitatu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (mtu aliyosoma kwa kiwango hicho kwenye baadhi ya vyuo duniani hupewa associate degree).
......
mwanafunzi ninayejilipia mwenyewe lazima nisimamishwe; nikiwa mwanafunzi pekee wa BBA niliyesimamishwa wakati huo......baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 mazingira yalikuwa yamebadilika sana kuweza kurejea kumalizia mwaka au miezi michache iliyokuwa imebaki.
Mkuu jipangeni vizuri kuhusu hili ambalo mnataka kuuamisha Umma kuwa mpo sahihi.....kuna makosa mmefanya kaaa na wenzako Nape,Mafilifili na Tandaleone litawaaacha nyakanyaka mwisho wa siku.Unachojaribu kufanya hapa ni kujaribu kupilizia Mavi Pafyum!Sorry!:rockon:
Nilisoma Franciscan Seminary Maua (FRASEMA) mpaka kidato cha nne; nilipata daraja la kwanza; nikiwa na alama A katika masomo tisa. ...
Pamoja na kusoma kutwa huku nikifanya kazi nilipata daraja la pili katika kidato cha sita. ..
Mwaka 2002 nilijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Es Salaam kusomea Bachelor in Business Administration (BBA).......
Kwa hiyo, nijibu tu kuhusu elimu yangu ya juu kwamba nimesoma miaka mitatu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (mtu aliyosoma kwa kiwango hicho kwenye baadhi ya vyuo duniani hupewa associate degree).
......
mwanafunzi ninayejilipia mwenyewe lazima nisimamishwe; nikiwa mwanafunzi pekee wa BBA niliyesimamishwa wakati huo......baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 mazingira yalikuwa yamebadilika sana kuweza kurejea kumalizia mwaka au miezi michache iliyokuwa imebaki.
Hivi unaelewa maana ya CV? Hii ni taarifa ya sehemu alikosomea. Ungeongeza sifa yake ya KUJICHUBUA. Tangu lini TTC wana kidato cha 5 na 6?
Mbona thread ya elimu ya John Mnyika ipo bado. Kapost kule. Hapa ni Nape Nnauye.Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..
Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..
- Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)
[*]Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
[*]Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.- Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
- Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
- Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe
Acharya.mkuu safi sana Nape hana kitu elimu zote amenunua hata hiyo undergradute kama ni india atupe jina la chuo alichosoma
Mkuu Mbavu zangu plz!unamaanisha Tandaleone ametuletea wasifu wa marehemu na cyo CV?
Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..
Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..
Nape haku qualify kufanya mtihani wa Form VI na haku qualify kufanya Bachelor Degree.Nape yuko juu ya mnyika ana masters mnyika hana
Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..
Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..