Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

BUTIMBA ni chuo cha ualimu,mm nimesoma hapo,kina shule ya mazoezi inayotoa elimu ya o-level,haijawahi kuwepo high school pale,mm nimesoma hapo,hiyo elimu ya A-level alifundishwa na nani huyo nape?,acha kutufanya mambulula,wadanganye magamba wenzako mwehu wewe.

uko sahihi mkuu mimi naifahamu sana Butimba TTC hakuna kitu kama hicho wanatundanganya na hapa ndio wanazidi kudhihirisha walivyo watupu kichwani
 
Ni muhimu pia tujadili ukweli wa viongozi wetu.

Hapa kuna mashaka ya Nape kutumia sifa za kughushi za O level na A level.

Umesahau Ujerumani yule aliyekuwa waziri wa ulinzi Bw. Gutenberg alijiuzulu kwa kuwa PhD yake iligundulika kuwa feki?

Ni kweli mkuu Gutenberge yeye aliundanganya umma toka awari katika kampeni na kuja baadee kugundulika kafanya pajarism katika msingi wa elimu yake ni kweli tunaitaji kuweka majadala kwa maslai ya taifa je kwenye uhai wa mtanzania lini tutaweka majadala wa wazi ili kuokoa elimu ya vyeti na si ujunzi muda unatutupa mkono mkuu
 
Wakati Nape alipokuwa anafanya mtihani wa O-level lazima paper zilileak, ispokuwa civics, english and maths. Haiwezekani apate D ya chem, Physics, history au biology, then apate F ya civics au english! Kusingekuwa na leakage masomo yote angepata F.
Unaweza kuelewa hoja zake anaposema Bunge lisirushwe hewani live kwa kuangalia hiyo F ya Elimu ya Uraia.
 
Nape aliweza kurudia baadhi ya masomo na kusafisha cheti ndipo vyuo husika vikampokea; tumpe pongezi kwa uthubutu wa kutokata tamaa

jana alikuwapo chama na ritz naona leo ni zamu yako mkuu! pambana!!
 
Ni center ya Private candidates. Lakini sio shule ya kusomea A level.

Sijakanusha Butimba TTC kuwa center ya mitihani.

Na ilikuwa ni centre ya mtihani wa A-Level kwa waalimu wanaojiendeleza ili kupata diploma tu,kwani nape naye alikuwa mwalimu wa Grade A?
 
Mkuu jipangeni vizuri kuhusu hili ambalo mnataka kuuamisha Umma kuwa mpo sahihi.....kuna makosa mmefanya kaaa na wenzako Nape,Mafilifili na Tandaleone litawaaacha nyakanyaka mwisho wa siku.Unachojaribu kufanya hapa ni kujaribu kupilizia Mavi Pafyum!Sorry!:rockon:

Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..

Nilisoma Franciscan Seminary Maua (FRASEMA) mpaka kidato cha nne; nilipata daraja la kwanza; nikiwa na alama A katika masomo tisa. ...



Pamoja na kusoma kutwa huku nikifanya kazi nilipata daraja la pili katika kidato cha sita. ..


Mwaka 2002 nilijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Es Salaam kusomea "Bachelor in Business Administration (BBA).......
Kwa hiyo, nijibu tu kuhusu elimu yangu ya juu kwamba nimesoma miaka mitatu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (mtu aliyosoma kwa kiwango hicho kwenye baadhi ya vyuo duniani hupewa associate degree).
mwanafunzi ninayejilipia mwenyewe lazima nisimamishwe; nikiwa mwanafunzi pekee wa BBA niliyesimamishwa wakati huo......baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 mazingira yalikuwa yamebadilika sana kuweza kurejea kumalizia mwaka au miezi michache iliyokuwa imebaki.


Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..






 
Mkuu jipangeni vizuri kuhusu hili ambalo mnataka kuuamisha Umma kuwa mpo sahihi.....kuna makosa mmefanya kaaa na wenzako Nape,Mafilifili na Tandaleone litawaaacha nyakanyaka mwisho wa siku.Unachojaribu kufanya hapa ni kujaribu kupilizia Mavi Pafyum!Sorry!:rockon:

Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..

Nilisoma Franciscan Seminary Maua (FRASEMA) mpaka kidato cha nne; nilipata daraja la kwanza; nikiwa na alama A katika masomo tisa. ...



Pamoja na kusoma kutwa huku nikifanya kazi nilipata daraja la pili katika kidato cha sita. ..


Mwaka 2002 nilijiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Es Salaam kusomea “Bachelor in Business Administration (BBA).......
Kwa hiyo, nijibu tu kuhusu elimu yangu ya juu kwamba nimesoma miaka mitatu Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (mtu aliyosoma kwa kiwango hicho kwenye baadhi ya vyuo duniani hupewa associate degree).
mwanafunzi ninayejilipia mwenyewe lazima nisimamishwe; nikiwa mwanafunzi pekee wa BBA niliyesimamishwa wakati huo......baada ya matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2005 mazingira yalikuwa yamebadilika sana kuweza kurejea kumalizia mwaka au miezi michache iliyokuwa imebaki.


Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..






 
Hivi unaelewa maana ya CV? Hii ni taarifa ya sehemu alikosomea. Ungeongeza sifa yake ya KUJICHUBUA. Tangu lini TTC wana kidato cha 5 na 6?

mkuu safi sana Nape hana kitu elimu zote amenunua hata hiyo undergradute kama ni india atupe jina la chuo alichosoma
 
Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..
Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..

Mbona thread ya elimu ya John Mnyika ipo bado. Kapost kule. Hapa ni Nape Nnauye.

Usijaribu kuipotezea mada hii. Nape O level na A level vipi? Alisoma wapi lini na alifaulu kiwango gani?
 
Last edited by a moderator:
Kweli elimu yetu haina maana, yaani kwa akili hizo aizonazo Nape alifika kidato cha pili!!!

Sina hata haja ya kumpeleka mwanangu shule
 
  • Mwaka 1995-1997 aliendelea na elimu ya sekondari katika shule ya Bweni ya Sekondari Nsumba iliyopo Mwanza (ambapo aliendelea kidato cha pili mpaka cha nne)

    [*]Mwaka 1998-2000 alisoma elimu ya juu ya sekondari (advanced level), mchepuo wa EGM na kuhitimu Butimba TTC
    [*]Mwaka 2001-2002 alisoma Diploma ya sayansi ya jamii katika Chuo Cha sayansi ya Jamii-Kivukoni.
  • Mwaka 2002-2003 alisomea Diploma ya Diplomasia na uhusiano wa Kimataifa –Chuo cha Diplomasia Dar es salaam.
  • Mwaka 2005-2008 alisomea digrii ya Saikolojia, Lugha na Habari katika Chuo Kikuu cha Bangalore-India
  • Mwaka 2009-2010 alisoma digrii ya pili ya utawala (Masters in Public Administration-MPA) katika chuo cha Mzumbe

Hivi unaweza tu kuwa umefaulu vizuri A-Level lakini ukaamua kusoma Diploma? Ni muungaji mzuri....
 
Mkuu Mbavu zangu plz!unamaanisha Tandaleone ametuletea wasifu wa marehemu na cyo CV?


hata kama wengine hatujasoma elimu zetu kidato cha 4, (tukatumia fumular ya sizitaki hizi mbichi)
kwa maana kufeli shule sio maisha
4rom zero now Heroes
tunamshkuru sana Mungu!
Kwahiyo wasitufanye hatuna akili za kufikiri hata kama hatujafika Chuo wastudanganye mbona mnyika kasema 'A' 9 na divission one ya 7. Sasa mleta uzi title yake inafariji af ukiingia ndani kaweka historia anatakiwa atutofautishie kati ya historia na CVs,
Au kuna tofauti gani kusema kuwa KOMBAJR Ana divssn one ya 6
si zitakuwa porojo mzee au? Au nakuploud; ngoja niondoke nsije nkara ban bure
 
Last edited by a moderator:
Hii CV inaonekana ni ya kulazimisha, hakuna ubishi!! Najua Nape kakutuma na sipendi kushindana na wewe ila kuna walakini kwenye maelezo yako!

Mfano, kati ya 1987 na 1989 Nape alianza drs la kwanza. Kwanini usiweke "exactly" mwaka alioanza hilo darasa??

Pili Butimba ni chuo cha ualimu, alisoma cheti au diploma? Kwa muda ulionyesha wa mwaka mmoja pale Butimba, jamaa atakua amesoma cheti na kwa mantiki hiyo matokeo yake ya form six hayakumruhusu kusoma diploma!!

Tatu, umesema alisoma diploma ya diplomasia pale Dar kuanzia 2002-2003, je kuna diploma ya mwaka mmoja?? (lazima amesoma certificate kwa kutumia matokeo ya form four)

My take:
Kwa maelezo yako, Nape ana elimu ya vyeti ila hajaelimika popote, na ndio maana uwezo wake upo chini sana! Nape kafika hapo alipo kutokana na kubebana kulikopo chani ya CCM. Wapo wengi tu kwenye idara nyeti za serikali ambao ni vilaza zaidi ya Nape.!
Kwa kuwa Nape ndie alieanzisha mjadala wa kuchokonoa elimu za watu; angetakiwa aje hapa jukwaani mwenyewe sio kukutuma wewe.
Hili linadhirisha jinsi alivyo kihiyo. Angemjibu Mnyika kwa hoja ingependeza sana! Nape hawezi kushindana na Mnyika hata kwa dawa!! To me Mnyika is the next level before Moses Nape. Huwezi kuwalinganisha hata kidogo. Simshabikii Mnyika, ila nimewa-evaluate wote ndo maana nikaja na hiyo observation.
 
Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..

Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..

Mimi sijaona yanachekesha wapi, sanasana nimeona maelezo yaliyonyooka. Wewe inawezekana ulichora picha ya Messi kwenye pepa ya sekondari ndio maana unaona kila kitu kinachekesha
 
Haingii akilini eti hajapenda kwenda boarding kwaiyo kaamua kusomea nyumban kafanya km private candedate? mmmh!
 
Nape yuko juu ya mnyika ana masters mnyika hana
Nape haku qualify kufanya mtihani wa Form VI na haku qualify kufanya Bachelor Degree.

Tuelezeni alichakachuaje mpaka akazipata hizo? Udanganyifu haukubaliki.
 
Majibu ya Mnyika kuhusu elimu yake hasa inapofikia elimu ya A-level inachekesha sana(kwa upande mwingine inasikkitisha)..






Huyu jamaa anajua kupiga chenga mfano wake sijaona..







Mnyika(Messi) Vs Nape(Mgosi)
 
Back
Top Bottom