Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

Ha!ha!ha! jamani mwenezi wa Magamba mtamuua na stress! Ila jamaa kaunga unga elimu yake haswa, hizo diploma za mafungu mafungu si mchezo.

Wamechukua muda kujibu ila bado walikuwa hawajaipangilia vizuri kidogo wadai ana Phd
 
TandaleOne

Mbona hii imekaa kama wasifu wa marehemu tunaosomewa makaburini?
 
Last edited by a moderator:
hivi alishindwa hata kuelezea maji maji war kweli? Au kazi za bunge?
noo majimaji ni kwenye history civics ni tanzania ilipata uhuru lini,rais wa kwanza? Muungano, rangi za bebdera ya taifa n.k
 
Umeruka vitu. Nape hakufanya vizuri Sekondari, akafanyaje ili kuondoa vizuizi vya kukosa credit za Form IV ........ mpaka akafikia Masters.

Nape aliweza kurudia baadhi ya masomo na kusafisha cheti ndipo vyuo husika vikampokea; tumpe pongezi kwa uthubutu wa kutokata tamaa
 
May be alifanya kama private candidate so kilikuwa ni kituo chake cha kufanyia mtihani...

si aje humu ajibu.....nape njooo viongozi wanakuhitaji humu...au tupigie majibu mistari?
 
"Wanasayansi wanasema akili ya mwanadamu hapa tanzania hupimwa kwa matokeo ya Form Four"
MNYIKA VS NAPE, FORM FOUR RESULTS
NAPE NNAUYE
DIV IV-29
KISW D, HIST D, GEOG D, ENG F, B/MATH F, BIOL D, CHEM D, PHY D, CIV F

JOHN MNYIKA
DIV I-7
PHY A, CHEM A, BIOL A, CIV A, ENGL A, GEOG A, HIST A, B/MATH A, KISW A, B/KNOW A

MY TAKE: MNYIKA NI GINIAZI
NAPE AJIENDELEZ

Mkuu haya matokeo umeyapata wapi? Mbona mleta mada TandaleOne anadai Nape alisoma EGM(GEOG D na Maths F)hii imekaje? Kweli Mwongo mpe muda!
 
good reasoning.

yea,kwa mujibu wa wasifu hapo juu inaonesha kuwa Nape alihama kutoka shule ya day (Ngudu) kwenda boarding (Nsumba) hivyo inaonesha anapenda shule za bweni,halafu mleta mada anajicontradict baadae kwa kudai kuwa aliacha kwenda boarding kwa sababu alipenda day.Hata kama ni day kwa matokeo ya div two si angeenda shule yoyote nzuri kuliko Chuo Cha Ualimu Butmba kama Private Candidate.Hata hivyo kwa uwezo wa familia yake wasingeshindwa kumpeleka shule nzuri ya private ya day
 
naomba kuuliza tu hivi katika diploma huwa wanaadika THESIS???? au DISSERTATION?
cHUO CHA ualimu wana michepuo ya EGM?
kama alipata F FORM 4 aliwezaje kusoma huo mchepuo?
mtoa mada ili mada yako iweze kuwa na mshiko ambatanaisha TRANSCRIPT YA nape.
 
Magamba yanafanana siku zote: Prof Maghembe/magembe, Prof Kapuya, Prof Palamagamba, Prof Muhongwa, Prof Ngasongwa, Prof Msolwa, prof Ndullu, prof Majimarefu, prof Mwandosya, Dr Bana, Dr Ballali, Dr Kawambwa, Dr Ndallichako, Dr Kafumu, Dr Batilda, Dr Kigwangala, Dr Kajura, Dr Mgimwa et al... hawatofautini na wenzao akina Zimbabwe, Lameck, Chichidodo, Kinana, Nape, Komba, Ngugai, Shonza, Mtella, Lusinde, Le Mutuz, Simba, Kamata, Kirigini et al ....!

Wote ni wachakachuaji, Wote ni Mafisadi, Wote wamitumbukiza nchi hii kwenye matatizo makubwa ya kielimu, Kiuchumi, Kijamii na Kisiasa...Suluhisho ni moja tu; TUING'OE CCM 2015....
 
Diploma mwaka mmoja?

Halafu kuna mwana JF mmoja alisema hiyo Masters kuna mtu aliyemfanyia presentation mbona hijakanusha au ni kweli? Tutajia na pass zake basi kama alivyofanya Mnyika na wasi wasi na ufaulu wake lzm utakuwa wa chini sana ndi maana hujaonesha.

Lkn mwisho wa yote hata kama ana sifa hizi basi hakuelimika maana hoja zake hata hawa vijana walofeli kidato cha nne hawawezi kutoa hoja kama za Nape.

Kweli kwenda shule sio kuelimika nafuu tungeendelea kufikiri na mbumbumbu kwa hili anawadhalilisha Masters holders
 
Absolutely wrong! hata kama hiyo masters aliibaka?
Hujawahi kusikia maprofesa wananyang'anywa uprofesa
for similar reasons wewe.

Hatuhitaji utitiri wa maneno mengi kwenye CV ambayo basically watu walitaka kujua elimu ya Mnyika na Nape. Kwa watu wenye uelewa na mangumashi za wabongo,mtu akishakua na maelezo na viambatanisho vingi hadi vyeti vya kuhitimu mafunzo ya kwaya,mgambo,we know what it means. Nape elimu imeshajulikana ni O-level,A-level,Bachelor+Masters degree VS Mnyika_O-level,A level(isiyo na credit),mwisho. What else?

Au unataka mnataka kumpa degree ya kuomba miongozo bungeni na kutoa matamko ya chadema!
 
Wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu, wanapendana hadi wanachefua, badala ya kumshauri Mnyika akaongeze shule, wao wanazidi kumtia UJINGA kuwa Mnyika kasoma kuliko Nape. Huko ni kudharau mamlaka za vyuo husika (Kivukoni, Bangore - India na Mzumbe) ambazo zimemtunukia vyeti Ndugu Nape kutokana na kukidhi vigezo vya Diploma, B.A na M.A. Pia ni kudharau UDSM ambao mpaka hadi leo hawajampatia cheti cha Shahada, Ndugu Mnyika kwa vile maksi zake hazikutosha kumpa kofia ya uhitimu. NAPE yuko juu ya MNYIKA kielimu hiyo haina shaka
 
butimba kenda kusoma EGM halafu akaibuka na ualimu maana tujuavyo TTC ni chuo cha ualimu hebu acheni kutuibia
 
Kuna kipindi unafika unawashangaa watu hapa Jamvini habari wanazotaka ni kusifia CHADEMA tu ukikosoa utapachikwa majina ya ajabu ajabu.Mleta mada kaomba CV za wabunge wa CHADEMA kama unajua unatuambia kama hujui unakaa kimya.

Mkuu wangu CV ya Godbless Lema ni ya hovyo kuliko nilivyofikiri mwanzo.Jamaa alishindwa kufaulu mtihani wa form II kuingia form III.Ana cheti cha lugha ya kiingereza miezi 3 KIMAHAMA mkabala na Golden Rose.Mkuu mambo mengine labda ajiendeleze baada ya kuwa mheshimiwa kazi hii namwachia kamanda PakaJimmy anaweza kumshauri.

Nawe leta hapa kiwango cha elimu cha Lameck Airo aka Lakairo,Lusinde,Prof Maji Mrefu na Lukuvi pia usisahau michango yao Bungeni hasa Lakairo na yule mchawi
 
Nape aliweza kurudia baadhi ya masomo na kusafisha cheti ndipo vyuo husika vikampokea; tumpe pongezi kwa uthubutu wa kutokata tamaa
Alirudia lini na wapi na alipata pass zipi?

Angalia: matokeo ya Form IV 1997 yalitoka March 1998, wakati huo tayari candidates kwa ajili ya O'level 1998 wameshaandikishwa kufanya mtihani, hivyo asingeweza kurudia 1998.

Suppose alirudia 1999 mtihani wa Form IV: hiyo inapaswa kuwa ni November 1999 ndio apate credits za kufanya mtihani wa A level. Matokeo ya Form IV ya waliofanya November 1999 yalitoka March 2000.

Hapa mnatuonesha kuwa alifanya mtihani wa Form VI 2000, alijiandikisha lini iwapo mitihani ya Form VI inafanyika May 2000 na credits za Form IV alizipata March wakati tayari Baraza limeandikisha candidates.

Ndio maana nasema "Njia ya muongo ni fupi"
 
Wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu, wanapendana hadi wanachefua, badala ya kumshauri Mnyika akaongeze shule, wao wanazidi kumtia UJINGA kuwa Mnyika kasoma kuliko Nape. Huko ni kudharau mamlaka za vyuo husika (Kivukoni, Bangore - India na Mzumbe) ambazo zimemtunukia vyeti Ndugu Nape kutokana na kukidhi vigezo vya Diploma, B.A na M.A. Pia ni kudharau UDSM ambao mpaka hadi leo hawajampatia cheti cha Shahada, Ndugu Mnyika kwa vile maksi zake hazikutosha kumpa kofia ya uhitimu. NAPE yuko juu ya MNYIKA kielimu hiyo haina shaka

We Mufilisi weka pass marks za o level na A level za huyo kihiyo wako tuzione hapa
 
Wafuasi wa Chadema ni watu wa ajabu, wanapendana hadi wanachefua, badala ya kumshauri Mnyika akaongeze shule, wao wanazidi kumtia UJINGA kuwa Mnyika kasoma kuliko Nape. Huko ni kudharau mamlaka za vyuo husika (Kivukoni, Bangore - India na Mzumbe) ambazo zimemtunukia vyeti Ndugu Nape kutokana na kukidhi vigezo vya Diploma, B.A na M.A. Pia ni kudharau UDSM ambao mpaka hadi leo hawajampatia cheti cha Shahada, Ndugu Mnyika kwa vile maksi zake hazikutosha kumpa kofia ya uhitimu. NAPE yuko juu ya MNYIKA kielimu hiyo haina shaka
Hawajasema Mnyika kasoma zaidi ya Nape, wanasema Mnyika ana akili na busara zaidi ya Nape.
 
Back
Top Bottom