UrbanSaint
Senior Member
- Aug 20, 2020
- 102
- 261
Kuna hawa madem kama watatu hivi,tunalink fresh kabisa na wakikwama mambo madogo madogo nawasupport ila linapokuja suala la kuniletea mbususu geto wanakua wajanja kweli!
Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention wala kuwatafuta,ni kuview status tu na kupita hivi! Sasa bana Mungu nae si Athumani kama zali tu akaanza mmoja siku amenasa dadeq hana hata hela ya kula! Si akanipigia baada ya kunitumia text nyingi bila kujibiwa?
[emoji1] Mi nilipokea tu na kuongea maneno mawili "Niko Salama" nikakata[emoji23][emoji1421] akapata fundisho lake sasa na leo mpuuzi wa pili kanasa kama kawaida amenitext WhatsApp baada ya takriban miezi 3 bila salamu🤌[emoji2535]. Kwakua mi kamati ya roho mbaya yani unyama unyamani mtoto mzuri nimemjibu kwa technique ya Mwl.Kashasha ya cross cutting grass [emoji23][emoji116]
Bado mmoja [emoji39]
Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention wala kuwatafuta,ni kuview status tu na kupita hivi! Sasa bana Mungu nae si Athumani kama zali tu akaanza mmoja siku amenasa dadeq hana hata hela ya kula! Si akanipigia baada ya kunitumia text nyingi bila kujibiwa?
[emoji1] Mi nilipokea tu na kuongea maneno mawili "Niko Salama" nikakata[emoji23][emoji1421] akapata fundisho lake sasa na leo mpuuzi wa pili kanasa kama kawaida amenitext WhatsApp baada ya takriban miezi 3 bila salamu🤌[emoji2535]. Kwakua mi kamati ya roho mbaya yani unyama unyamani mtoto mzuri nimemjibu kwa technique ya Mwl.Kashasha ya cross cutting grass [emoji23][emoji116]
Bado mmoja [emoji39]