min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Ni kwel mkuu ila ungefanya aje aichukue ukiwa home kwako master.Atajua mwenyewe kikubwa haipati kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwel mkuu ila ungefanya aje aichukue ukiwa home kwako master.Atajua mwenyewe kikubwa haipati kwangu
Huo ujasiri hatunAUsimsaidie Mwanamke hasa pesa Mwambie amuombe baba ake
Wanawake wanatunyonya sana pumbavu zaoMkuu hakuna dawa apo apo alikua anatafuta 10 yako akaongezee kwenye laki nne na 90 aliyopewa na wengne akanunue simu mpya , kiufupi hakuna ulichofanya mkali.
Ndugu yake huyu hapa 🤣🤣🤣 sema hata kimya nalo ni jibu.Kuna hawa madem kama watatu hivi,tunalink fresh kabisa na wakikwama mambo madogo madogo nawasupport ila linapokuja suala la kuniletea mbususu geto wanakua wajanja kweli!
Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention wala kuwatafuta,ni kuview status tu na kupita hivi! Sasa bana Mungu nae si Athumani kama zali tu akaanza mmoja siku amenasa dadeq hana hata hela ya kula! Si akanipigia baada ya kunitumia text nyingi bila kujibiwa?
[emoji1] Mi nilipokea tu na kuongea maneno mawili "Niko Salama" nikakata[emoji23][emoji1421] akapata fundisho lake sasa na leo mpuuzi wa pili kanasa kama kawaida amenitext WhatsApp baada ya takriban miezi 3 bila salamu🤌[emoji2535]. Kwakua mi kamati ya roho mbaya yani unyama unyamani mtoto mzuri nimemjibu kwa technique ya Mwl.Kashasha ya cross cutting grass [emoji23][emoji116]
Bado mmoja [emoji39]
View attachment 2533803
Jibu la kifaza sanaNyieeee😂😂😂😂et Asante kwa kuniamini🙌🙌ndio maana naiheshimu pesa yangu mnoo
🤣🤣🤣🤣🤣 imekaa poa
Hata simuhitaji tenaUngemwambia aje kuchukua ghetto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndugu yake huyu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema hata kimya nalo ni jibu.
View attachment 2533914
Nimemlia ubuyu tu.
Ni MakupeMimi wanachonikera wanapenda pesa zetu lakini kutoa mbususu wachoyo. Hawa viumbe wachoyo na wabinafsi sana
Tena anasisitiza nitumie saiv bladfakenNdugu yake huyu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sema hata kimya nalo ni jibu.
View attachment 2533914
Nimemlia ubuyu tu.
Matapeli Hawa ndio walionifanya niendelee kununua tu unamuonesha upendo kumbe yeye yupo kiupigajiWajinga sana kuna mmoja namwambia mbususu lini anasema ntakupa uzuri haiami,alafu ananiambia nimpe mpunga kwanza,hamna fala atakuja tu
Hiyo mtumie walau bi mkubwa wako anunue matunda utapata barakaunajisifia roho mbaya, nipe mimi namba zao niwasaidie hela ya kula. Wanawake inatakiwa tuwatunze na sio kuwadhalilisha
Mtu ukimuita mwanamke geto kwani unamaanisha aje kusali rozari?Huenda hata hujawahi kuomba mchezo.