Hii ndio dawa ya wanawake wajanja wanjanja

Hii ndio dawa ya wanawake wajanja wanjanja

Kuna hawa madem kama watatu hivi,tunalink fresh kabisa na wakikwama mambo madogo madogo nawasupport ila linapokuja suala la kuniletea mbususu geto wanakua wajanja kweli!

Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention wala kuwatafuta,ni kuview status tu na kupita hivi! Sasa bana Mungu nae si Athumani kama zali tu akaanza mmoja siku amenasa dadeq hana hata hela ya kula! Si akanipigia baada ya kunitumia text nyingi bila kujibiwa?

[emoji1] Mi nilipokea tu na kuongea maneno mawili "Niko Salama" nikakata[emoji23][emoji1421] akapata fundisho lake sasa na leo mpuuzi wa pili kanasa kama kawaida amenitext WhatsApp baada ya takriban miezi 3 bila salamu🤌[emoji2535]. Kwakua mi kamati ya roho mbaya yani unyama unyamani mtoto mzuri nimemjibu kwa technique ya Mwl.Kashasha ya cross cutting grass [emoji23][emoji116]

Bado mmoja [emoji39]

View attachment 2533803
....mkuu hawa wanawake wachukulie kama watoto akikuomba msaada wote hata wa kifedha mpatie kama unayo, lakini usifikirie sana kulipwa penzi, huwa wanakuja kuwa msaada hata Kwa jambo linguine tofauti kabisa na mapenzi na utashangaa, mifumo ya maisha ya kidunia(Siasa, uchumi, mazingira afya etc) haiko fair ana Kwa mwanamke, hawa ni victim wa mifumo ya dunia, wanahitaji sapoti yetu wanaume so tuwapende na kuwajali Kwa nafasi na uwezo tulionao tu.....si ajabu ungempatia hiyo kumi ungemuokoa kwenda kudhalilishwa na mwanaume mwingine huko....so alikuamini wewe......
 
🤣🤣🤣🤣 asante kwa kuniamini ila kwa sasa sina
 
Biblia inasema mwanamke ni msaidizi sasa kama wewe mwanaume unamtimizia majukumu yako kwake yeye hakupi tendo sasa huyo mwanamke anachofanya kwako nini kama sio kutapeliwa tu
....mkuu hawa wanawake wachukulie kama watoto akikuomba msaada wote hata wa kifedha mpatie kama unayo, lakini usifikirie sana kulipwa penzi, huwa wanakuja kuwa msaada hata Kwa jambo linguine tofauti kabisa na mapenzi na utashangaa, mifumo ya maisha ya kidunia(Siasa, uchumi, mazingira afya etc) haiko fair ana Kwa mwanamke, hawa ni victim wa mifumo ya dunia, wanahitaji sapoti yetu wanaume so tuwapende na kuwajali Kwa nafasi na uwezo tulionao tu.....si ajabu ungempatia hiyo kumi ungemuokoa kwenda kudhalilishwa na mwanaume mwingine huko....so alikuamini wewe......
 
Kuna hawa madem kama watatu hivi,tunalink fresh kabisa na wakikwama mambo madogo madogo nawasupport ila linapokuja suala la kuniletea mbususu geto wanakua wajanja kweli!

Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention wala kuwatafuta,ni kuview status tu na kupita hivi! Sasa bana Mungu nae si Athumani kama zali tu akaanza mmoja siku amenasa dadeq hana hata hela ya kula! Si akanipigia baada ya kunitumia text nyingi bila kujibiwa?

[emoji1] Mi nilipokea tu na kuongea maneno mawili "Niko Salama" nikakata[emoji23][emoji1421] akapata fundisho lake sasa na leo mpuuzi wa pili kanasa kama kawaida amenitext WhatsApp baada ya takriban miezi 3 bila salamu🤌[emoji2535]. Kwakua mi kamati ya roho mbaya yani unyama unyamani mtoto mzuri nimemjibu kwa technique ya Mwl.Kashasha ya cross cutting grass [emoji23][emoji116]

Bado mmoja [emoji39]

View attachment 2533803
Hawa dawa yao ni hiyo tu. Wanajifanya wajanja wakati kwao tunafaidi qumer tu. Yaani mademu kama hawa hawawezi hata kukushauri jambo lolote la maana zaidi ya kukukamua hela tu kila siku. Wapuuzi sana aisee!
 
Back
Top Bottom