Hii ndio dawa ya wanawake wajanja wanjanja

....mkuu hawa wanawake wachukulie kama watoto akikuomba msaada wote hata wa kifedha mpatie kama unayo, lakini usifikirie sana kulipwa penzi, huwa wanakuja kuwa msaada hata Kwa jambo linguine tofauti kabisa na mapenzi na utashangaa, mifumo ya maisha ya kidunia(Siasa, uchumi, mazingira afya etc) haiko fair ana Kwa mwanamke, hawa ni victim wa mifumo ya dunia, wanahitaji sapoti yetu wanaume so tuwapende na kuwajali Kwa nafasi na uwezo tulionao tu.....si ajabu ungempatia hiyo kumi ungemuokoa kwenda kudhalilishwa na mwanaume mwingine huko....so alikuamini wewe......
 
🤣🤣🤣🤣 asante kwa kuniamini ila kwa sasa sina
 
Biblia inasema mwanamke ni msaidizi sasa kama wewe mwanaume unamtimizia majukumu yako kwake yeye hakupi tendo sasa huyo mwanamke anachofanya kwako nini kama sio kutapeliwa tu
 
Hawa dawa yao ni hiyo tu. Wanajifanya wajanja wakati kwao tunafaidi qumer tu. Yaani mademu kama hawa hawawezi hata kukushauri jambo lolote la maana zaidi ya kukukamua hela tu kila siku. Wapuuzi sana aisee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…