Hii ndio dawa ya wanawake wajanja wanjanja

Hiyo mifumo rafiki tengeneza kwa watoto wako wakike ile wasije kuwa victim,ila vinginevyo mwendo ni uleule
 
Hawa dawa yao ni hiyo tu. Wanajifanya wajanja wakati kwao tunafaidi qumer tu. Yaani mademu kama hawa hawawezi hata kukushauri jambo lolote la maana zaidi ya kukukamua hela tu kila siku. Wapuuzi sana aisee!
Hakuna kuhurumia!
 
Huo mzinga unapigwa wa kwanza, ukikubali kutoa, kabla hujatoa unaunganishiwa na wa pili hapohapo!

Yani mtu anataka kumalizia matatizo yake yote kwako, halafu ndo kwanza mnajuana hapo.
Huo ni ukora wa hali ya juu sana!
 
Huo mzinga unapigwa wa kwanza, ukikubali kutoa, kabla hujatoa unaunganishiwa na wa pili hapohapo!

Yani mtu anataka kumalizia matatizo yake yote kwako, halafu ndo kwanza mnajuana hapo.
Kuna dem polisi magereza fln aliwahi niomba 300k, tulikua tumezoeana sasa siku moja kupiga story akaniingizia tu, bro nisev 300k nakurudishia in 2 weeks. Mie nikajua hairudi tu ila nikazama NMB kiganjan kuna hela ilikuwemo kdg nikamtumia 300k hapohapo.

Siku moja nikakutana nae bar fln hv tukanywa kidizain ile namwambia kiutu uzima leo akapaone kwangu akawa mbogo, nikasema isiwe kesi. Kila mtu akaondoka kivyake.

Wiki zikapita hadi mwezi akaanza kunikwepa coz bado hajalipa deni. Siku moja tumekutana mahala akaanza kunipigisha story mara sorry nyingi eti ile siku alikua period, mara alifiwa na mamdogo wake ndo maana kashindwa kulipa. Mie nikamjibu short tu kwamba potezea nlikusaidia tu siku ile, usijali kurudisha. Alishukuru balaa akasema anaweza kuja kwangu hio jion ila nkamwambia wifi yake kaja kunitembelea.

Sasa kilichonishangaza kesho yake jion huyohuyo mtu ananiomba tena 500k. Aisee nilipiga block hadi leo ananisalimia kwa woga sana. Kuna watu zero kabisa, hawana hata common sense
 
Kuna watu wanajitoa akili kabisa kwenye hela.
 
Huyo ni tahira alijua umemuelewa sana ulivyompa na kukataa asikulipe akajua ndo utakua utaratibu wako[emoji23]
 

Hawa watu ukiwaonea huruma wanakugeuza chuma ulete
 
Hahahahahhaahahhahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…