Hakuna kitu mjomba ni wezi tu.....mkuu hawa wanawake wachukulie kama watoto akikuomba msaada wote hata wa kifedha mpatie kama unayo, lakini usifikirie sana kulipwa penzi, huwa wanakuja kuwa msaada hata Kwa jambo linguine tofauti kabisa na mapenzi na utashangaa, mifumo ya maisha ya kidunia(Siasa, uchumi, mazingira afya etc) haiko fair ana Kwa mwanamke, hawa ni victim wa mifumo ya dunia, wanahitaji sapoti yetu wanaume so tuwapende na kuwajali Kwa nafasi na uwezo tulionao tu.....si ajabu ungempatia hiyo kumi ungemuokoa kwenda kudhalilishwa na mwanaume mwingine huko....so alikuamini wewe......
Kama hela yake vileHuyu anakusisitiza kabisa,umtumie sasa hv???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah %kama ni yeye ameset timer ya disappearing messages
mzee vaa ndom ya bati siku ya mechi
utanishukuru
Daaah! Tatizo wana tamaa sana wanataka wale kote kote wale vibunda vya jamaa zao na vibunda vyetuTayari anakuwa nao anaowapa na anaogopa kipigo kutoka huko
Kweli aisee, maana hapa nina manzi ananipiga vizinga mwezi sasa ila mbususu kanipa mara mbili tu tena nimekomaa kweli. Huyu lazima ana mtu wake spesho mimi kama spare tairi tuBoss,sio kwamba mbususu hawatoi,wanatoa ila kwa watu wao spesho sio kwa kila mtu,sisi kina kingwendu ni kama spea tairi tu
Hiki ndio kilio changu tunataka tuone value for money. Mimi akinipea mbususu pale nikihitaji na kitandani mautumdu kama yote vizinga haviumiNi kweli kabisa pesa iendane na huduma unayopokea
Mnooo yaaaaan...Ndio maana huwaa sipendi kuombaa ela ya mtu Mimi..sipendi dharauuu😄😄Jibu halikasilishi,halihuzunishi,haliumizi ila linakera[emoji28]
Hii ndio akili. Ila utasikia jamani freddy unitombeee kwa msaada wa buku 30 tuu.Hiyo ndo dawa yao...mm demu namsaidia mara mbili tu,asipotoa mbususu na mm sitoi hela,nipe nikupe...haiwezekani nikupe mm tu siku zote!
Kuna hawa madem kama watatu hivi,tunalink fresh kabisa na wakikwama mambo madogo madogo nawasupport ila linapokuja suala la kuniletea mbususu geto wanakua wajanja kweli!
Namimi nikaamua kuchange gear angani kimya kimya,nikakata mazoea kabisa toka mwezi wa 12 nikaacha kabisa kuwapa attention wala kuwatafuta,ni kuview status tu na kupita hivi! Sasa bana Mungu nae si Athumani kama zali tu akaanza mmoja siku amenasa dadeq hana hata hela ya kula! Si akanipigia baada ya kunitumia text nyingi bila kujibiwa?
[emoji1] Mi nilipokea tu na kuongea maneno mawili "Niko Salama" nikakata[emoji23][emoji1421] akapata fundisho lake sasa na leo mpuuzi wa pili kanasa kama kawaida amenitext WhatsApp baada ya takriban miezi 3 bila salamu🤌[emoji2535]. Kwakua mi kamati ya roho mbaya yani unyama unyamani mtoto mzuri nimemjibu kwa technique ya Mwl.Kashasha ya cross cutting grass [emoji23][emoji116]
Bado mmoja [emoji39]
View attachment 2533803
Sasa nakosaje 10K. Acha zarau.
Sasa demu utelezi kakunyima, hela hutaki kumpa.
Tupe namba wengine tumuhudumie.
Anajua mwenyewe ni kident cha chuoSasa anakuomba efkumi itamsaidia kwenye nini au hela ya bando?
Naam! Imani muhimu[emoji2][emoji28]
Asante kwa kuniamin