Yaani wasanii wakatae deals kwa sababu kuna watu watachukia? Mtawalisha?
Mbona 2015 queens wa bongo movie wote walikuwa upande wa Lowasa na hatukuacha kufuatilia kazi zao?
Zuchu alipendelea Ccm lini?Zuchu anagusaje maisha ya mtanzania mmoja mmoja?
Mbona hamjaja kumsaidia boss wenu ku-like?Ccm tupo tutampigia kura zuchu,,wapinzani hamna maana kabisa[emoji51][emoji51]
unayepingana nae kashakukalisha kwa hoja kabisa, muda si mrefu mlisema Zuchu hana mashabiki Bali wote wanaomkubali Zuchu ni mashabiki wa wcb, mm nimeelewa mchezo wenu mnapitia mgongo wa siasa kuzisema chuki zenu dhidi ya WCB na mioyoni mwenu nyie ni watu wamateam tu.Wasanii hawa,mara hili mara lile..mara Diamond zamani,mara....
Hatuko huko...tuko leo hapa tunazungumzia award ya Zuchu
Leo kwenye hii nomination unadai kuna "utimu"..
Nikakuuliza leo kuna "Timu Zuchu" na "Timu Nani" wanapambana?
Hakuna opponent...hivyo hoja yako ya eti "utimu" kwenye hii ishu ya leo haipo...
Leo ni wafuasi wa Chama kingine walipoona Zuchu anapendelea Chama Cha Mapinduzi imebidi apoteze wafuasi wale wa vyama vingine...
Ndio athari yake.....
Mwanamuziki hua ana wafuasi wa vyama vyote,ila akionesha mapenzi yake kwa chama kimoja na ku-diss vingine directly anafukuza wafuasi wa hivyo vyama alio-diss
Ndio kilichotokea hapa...Zuchu na hao wengine should deal with their own stupidity....
Mbona Diamond kashinda tuzo nyingi na amewapigia kampeni CCM Burudani na Siasa Ni vitu viwili tofauti.Nikusahihishe kidogo lakini baada ya kukubaliana na wewe kuhusu tabia ya watanzania kusahau yaliyopita. Ni bahati mbaya sana kwa hizo kura za Grammy kuhitajika wakati huu kidonda cha ushabiki wa vyama kikiwa kibichi kabisa.
Msanii na wanamichezo kazi yao ni kuunganisha jamii, hivyo ni kazi yao kwa umoja wao kujitenga na siasa zinazoitenga jamii. Hasa siasa kama hizi za sasa.
😲😲😲Mbona hamjaja kumsaidia boss wenu ku-like?View attachment 1597730
Pumbavu wewe wakati huo Wema alikuwa na followers wangapi?Kama umeshindwa kujua msanii mwenye followers wengi kwenye social platforms anawezaje kumotivate Jambo chanya katika jamii,Basi nami sitoweza kujichosha kukueleza msanii Kama huyo (zuchu) anagusaje hayo maisha ya mtanzania!
Kwamba Chadema ndio wameiua?Bongo Movie iko wapi kwa sasa?
Hatupaswi kuwapigia kura wasanii wa Tanzania wala kwenda kwenye matamasha yao.Ccm wametesa na kuua watu kwa miaka mitano lkn,wasanii wameshindwa kuutumia umaarufu wao vzr matokeo yake wanakubali kuinamishwa na ccm!
Jibu swali? Kuitwa kupiga kazi ni kupendelea?Mkuu una vituko sana....naona umeamua kujijibu comment yako binafsi...
Hahahahaa
This is hillarious!
Naona nyinyi wenye harakati za kijanja mmetulia tuli.Kwamba Chadema ndio wameiua?
Mbona haikufa TOT? Mbona haijafa Bongo Fleva na wasanii wanatumika na Ccm miaka yote?
Mna harakati za kishenzi tu
Kwamba Chadema ndio wameiua?
Mbona haikufa TOT? Mbona haijafa Bongo Fleva na wasanii wanatumika na Ccm miaka yote?
Mna harakati za kishenzi tu
Nina hakika wangekua na hela wangepigiwa, msanii anaangalia dealKwa hyo mlitaka zuchu akawapigie debe chadema?.
"TUSIPANGIANE VYAMA".
ukitaka kumpigia kura mpigie usipotaka ACHA.
Harakati za kishenziIlianzia kufa mikononi mwa CCM ilipoenda Chadema ikazikwa rasmi
Trust me hao ni fan wa upande wa pili...mim siwez mchukia lets say Kiba kisa ccm...kuna maisha ni personal atajua yeye mwenyew msanii...
Na wasanii sio kama wanpenda...Ukileta kiburi jamaa wanakula sahani moja naww kuptia basata na tcra...Mda msanii anafungiwa Shabiki upo zako geto umelala...tusifanye kama hatuijui hii bongo yetu...
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app